Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


African Sports yaipania Simba

TIMU ya soka ya African Sports “Wana Kimanumanu” ya Tanga imetamba kuwa itaifunga Simba katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Septemba 12, mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Sports yaipania Yanga leo

Yanga kamili inashuka dimbani leo kuivaa African Sports ya hapa iliyopania kuwaduwaza kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

 

9 years ago

Habarileo

African Sports yaihadharisha Simba

UONGOZI wa timu ya soka ya African Sports ya Tanga umesema kuwa Simba isitarajie mteremko kwenye mchezo wa Jumamosi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yaandaa dozi kwa African Sports

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya wengi kuibeza timu hiyo na kuona haitafanya vizuri msimu huu, lakini anaamini itawanyamazisha wote kwa kutwaa ubingwa msimu ujao.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgambo Shooting yaipania Simba

Kocha Mkuu wa Mgambo Shooting, Bakari Shime amejitapa kuwa kipigo alichokitoa kwa Ashanti United ndicho atakachokihamishia kwa Simba.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeya City sasa yaipania Simba

Timu ya Mbeya City imesahau yaliyopita ya kufungwa na Yanga mabao 3-1 na sasa nguvu na akili zao zipo kwenye mechi yao ya kesho dhidi ya Simba.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yaipania Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Taifa

Baada ya kushindwa kutwaa Kombe la Mapinduzi, Simba leo itashuka uwanja wa Taifa kumenyana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki ambao kiingilio chake ni Sh5,000.

 

10 years ago

Mwananchi

African Sports, Mwadui kusaka bingwa

Timu vinara wa makundi ya Ligi Daraja la Kwanza, African Sports ya Tanga na Mwadui ya Shinyanga zitaumana Jumapili kwenye mchezo wa fainali wa kusaka bingwa wa ligi hiyo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

African Sports, imerudi kubipu au kupiga?

Ghafla, klabu ya African Sports ya Tanga imerudi katika Ligi Kuu nchini. Ilikuwa ni raha ya aina yake kuitazama zamani.

 

11 years ago

Mwananchi

African Sports yasaka Sh50 mil

Wakati michuano ya soka ya mabingwa wa mikoa ikitarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10, klabu ya African Sports, ambayo ni bingwa wa Mkoa wa Tanga, inasaka zaidi ya Sh50 milioni kufanikisha ushiriki wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani