African Sports yaipania Simba
TIMU ya soka ya African Sports “Wana Kimanumanu” ya Tanga imetamba kuwa itaifunga Simba katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Septemba 12, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Sports yaipania Yanga leo
Yanga kamili inashuka dimbani leo kuivaa African Sports ya hapa iliyopania kuwaduwaza kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
9 years ago
Habarileo09 Sep
African Sports yaihadharisha Simba
UONGOZI wa timu ya soka ya African Sports ya Tanga umesema kuwa Simba isitarajie mteremko kwenye mchezo wa Jumamosi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Simba yaandaa dozi kwa African Sports
Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya wengi kuibeza timu hiyo na kuona haitafanya vizuri msimu huu, lakini anaamini itawanyamazisha wote kwa kutwaa ubingwa msimu ujao.
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Mgambo Shooting yaipania Simba
Kocha Mkuu wa Mgambo Shooting, Bakari Shime amejitapa kuwa kipigo alichokitoa kwa Ashanti United ndicho atakachokihamishia kwa Simba.
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Mbeya City sasa yaipania Simba
Timu ya Mbeya City imesahau yaliyopita ya kufungwa na Yanga mabao 3-1 na sasa nguvu na akili zao zipo kwenye mechi yao ya kesho dhidi ya Simba.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Simba yaipania Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Taifa
Baada ya kushindwa kutwaa Kombe la Mapinduzi, Simba leo itashuka uwanja wa Taifa kumenyana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki ambao kiingilio chake ni Sh5,000.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
African Sports, Mwadui kusaka bingwa
Timu vinara wa makundi ya Ligi Daraja la Kwanza, African Sports ya Tanga na Mwadui ya Shinyanga zitaumana Jumapili kwenye mchezo wa fainali wa kusaka bingwa wa ligi hiyo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es salaam.
9 years ago
Mwananchi04 Sep
African Sports, imerudi kubipu au kupiga?
Ghafla, klabu ya African Sports ya Tanga imerudi katika Ligi Kuu nchini. Ilikuwa ni raha ya aina yake kuitazama zamani.
11 years ago
Mwananchi05 May
African Sports yasaka Sh50 mil
Wakati michuano ya soka ya mabingwa wa mikoa ikitarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10, klabu ya African Sports, ambayo ni bingwa wa Mkoa wa Tanga, inasaka zaidi ya Sh50 milioni kufanikisha ushiriki wake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania