Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgambo Shooting yaipania Simba

Kocha Mkuu wa Mgambo Shooting, Bakari Shime amejitapa kuwa kipigo alichokitoa kwa Ashanti United ndicho atakachokihamishia kwa Simba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING

Kikosi cha timu ya Mgambo Shooting ya Tanga wakionekana katika picha ya pamoja wakati wa mechi yao dhidi ya Simba Sc ya Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Simba Sc. Mashabiki wa timu ya Simba Sc wakiduwaa baada ya timu yao kupokea kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa Mgambo…

 

10 years ago

Vijimambo

YALIYOJIRI KWENYE MECHI KATI YA SIMBA NA MGAMBO SHOOTING

 Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akipokea mpira kutoka kwa mwamuzi, Jacob Odongo kutoka Mkoa wa Mara baada ya kufunga 'hat trick' katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Mgambo Shooting mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.(Picha na Francis Dande) Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Mgambo Shooting, Bashiru Chanache katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanya wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0.

 

10 years ago

Michuzi

Yanga ilipoitungua Mgambo Shooting bao 2-0

 Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akichuana na beki wa Mgambo Shooting, Bushiru Mohamed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)Golikipa wa Ruvu Shooting, Said Lubawa akiokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja Taifa jijini Dar es Salaam.
Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mgambo.Mrisho Ngasa...

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm aitega Mgambo Shooting Ligi Kuu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema Mgambo JKT si timu ya kudharau kwa kuona ni timu ndogo, kwani imekuwa ikifanya vizuri kwa kuwapa upinzani mkali kila wanapokutana.

 

9 years ago

Habarileo

African Sports yaipania Simba

TIMU ya soka ya African Sports “Wana Kimanumanu” ya Tanga imetamba kuwa itaifunga Simba katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Septemba 12, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeya City sasa yaipania Simba

Timu ya Mbeya City imesahau yaliyopita ya kufungwa na Yanga mabao 3-1 na sasa nguvu na akili zao zipo kwenye mechi yao ya kesho dhidi ya Simba.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yaipania Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Taifa

Baada ya kushindwa kutwaa Kombe la Mapinduzi, Simba leo itashuka uwanja wa Taifa kumenyana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki ambao kiingilio chake ni Sh5,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani