Pluijm aitega Mgambo Shooting Ligi Kuu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema Mgambo JKT si timu ya kudharau kwa kuona ni timu ndogo, kwani imekuwa ikifanya vizuri kwa kuwapa upinzani mkali kila wanapokutana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Ruvu shooting yajinoa kwa Ligi Kuu 2014/15
TIMU ya Ruvu Shooting ya Pwani, inatarajia kuingia kambini leo kuhakikisha inafanya vizuri katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2014/2015. Shooting iliyomaliza msimu uliopita ikiwa nafasi ya sita,...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Mgambo hukumbuka buti dakika za majeruhi
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Pluijm azikamia pointi 63 Ligi Kuu
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van der Pluijm, amesema watatimiza mipango ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) kwa kushinda mechi zote 21 zilizobaki, sawa na pointi 63.
Yanga, yenye pointi 23 katika nafasi ya pili, imeshushwa kileleni na Azam FC iliyofikisha pointi 25 kwenye msimamo wa ligi, huku timu zote zikiwa hazijapoteza mchezo wowote hadi sasa katika mechi tisa walizocheza.
Kwa sasa ligi imesimama kupisha usajili wa dirisha dogo utakaofunguliwa Novemba 15,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55I-Wq0P4fNHcSwxqZoNcYnMuaewg*JnqtJbCYcLaxsVElCj-zFyurkfXRyzV-cS3Q6Xx33SedzeUaUHraaXJrbs/loga.gif?width=650)
Loga, Pluijm wasimamishwa kufundisha ligi kuu
10 years ago
VijimamboKLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.
![](https://ramadhaniabubakari.files.wordpress.com/2012/10/81.jpg?w=593&h=311)
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.
Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/00.1stand-united-Vs-mtibwa11.jpg)
Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/TFF-Tanzania-Prisons.jpg)
Kikosi cha Prison.
Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Mgambo Shooting yaipania Simba
10 years ago
MichuziYanga ilipoitungua Mgambo Shooting bao 2-0
Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mgambo.
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
10 years ago
GPLSIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING