Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm aitega Mgambo Shooting Ligi Kuu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema Mgambo JKT si timu ya kudharau kwa kuona ni timu ndogo, kwani imekuwa ikifanya vizuri kwa kuwapa upinzani mkali kila wanapokutana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ruvu shooting yajinoa kwa Ligi Kuu 2014/15

TIMU ya Ruvu Shooting ya Pwani, inatarajia kuingia kambini leo kuhakikisha inafanya vizuri katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2014/2015. Shooting iliyomaliza msimu uliopita ikiwa nafasi ya sita,...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Mgambo hukumbuka buti dakika za majeruhi

Unahitaji roho ya ajabu kuwa shabiki wa damu wa timu ya Mgambo ya Tanga. Kwa msimu wa pili mfululizo imefanikiwa ‘kuondoka katika chumba cha wagonjwa mahututi sekunde chache kabla ya daktari hajakata tamaa’.

 

9 years ago

Mtanzania

Pluijm azikamia pointi 63 Ligi Kuu

6009KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van der Pluijm, amesema watatimiza mipango ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) kwa kushinda mechi zote 21 zilizobaki, sawa na pointi 63.

Yanga, yenye pointi 23 katika nafasi ya pili, imeshushwa kileleni na Azam FC iliyofikisha pointi 25 kwenye msimamo wa ligi, huku timu zote zikiwa hazijapoteza mchezo wowote hadi sasa katika mechi tisa  walizocheza.

Kwa sasa ligi imesimama kupisha usajili wa dirisha dogo utakaofunguliwa Novemba 15,...

 

11 years ago

GPL

Loga, Pluijm wasimamishwa kufundisha ligi kuu

Kocha mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic. Na Sweetbert Lukonge
CHAMA cha Makocha Tanzania (Tafca), kimesema makocha wa kigeni wakiwemo wale wa Simba na Yanga, hawatakaa kwenye mabenchi ya timu zao wakati wa Ligi Kuu Tanzania Bara.…

 

10 years ago

Vijimambo

KLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.

Mgambo JKT.
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.


Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.


Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.

Kikosi cha Prison.

Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgambo Shooting yaipania Simba

Kocha Mkuu wa Mgambo Shooting, Bakari Shime amejitapa kuwa kipigo alichokitoa kwa Ashanti United ndicho atakachokihamishia kwa Simba.

 

10 years ago

Michuzi

Yanga ilipoitungua Mgambo Shooting bao 2-0

 Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akichuana na beki wa Mgambo Shooting, Bushiru Mohamed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)Golikipa wa Ruvu Shooting, Said Lubawa akiokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja Taifa jijini Dar es Salaam.
Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mgambo.Mrisho Ngasa...

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

10 years ago

GPL

SIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING

Kikosi cha timu ya Mgambo Shooting ya Tanga wakionekana katika picha ya pamoja wakati wa mechi yao dhidi ya Simba Sc ya Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Simba Sc. Mashabiki wa timu ya Simba Sc wakiduwaa baada ya timu yao kupokea kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa Mgambo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani