African Sports, imerudi kubipu au kupiga?
Ghafla, klabu ya African Sports ya Tanga imerudi katika Ligi Kuu nchini. Ilikuwa ni raha ya aina yake kuitazama zamani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo09 Sep
African Sports yaihadharisha Simba
UONGOZI wa timu ya soka ya African Sports ya Tanga umesema kuwa Simba isitarajie mteremko kwenye mchezo wa Jumamosi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
9 years ago
Habarileo25 Aug
African Sports yaipania Simba
TIMU ya soka ya African Sports “Wana Kimanumanu” ya Tanga imetamba kuwa itaifunga Simba katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Septemba 12, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
African Sports, Mwadui kusaka bingwa
11 years ago
Mwananchi05 May
African Sports yasaka Sh50 mil
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Mtihani kwa Mbeya City, African Sports
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Simba yaandaa dozi kwa African Sports
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Dylan Kerr aishika pabaya African Sports
NA ONESMO KAPINGA, TANGA
KOCHA Mkuu wa Simba Mwingereza, Dylan Kerr, ni kama aliwashika pabaya wachezaji wa African Sports baada ya kufanya uamuzi wa kwenda kuwasoma kabla ya kuvaana kwenye mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo amekiri alikuwa sahihi kwani aliweza kutambua uwezo wa mshambuliaji wao hatari, Novat Lufungo.
Kabla ya kukutana na African Sports juzi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Kerr alishawasoma wapinzani wake na kugundua umahiri wa mshambuliaji huyo hatari...
10 years ago
Vijimambo27 Jan
FRIENDS RANGERS YAFUFUA MATUMAINI YA LIGI KUU, AFRICAN SPORTS YAIKALISHA MAJIMAJI
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya kudhibitiwa na Mgambo Dec 12, Yanga yafanikiwa kuondoka na point 3 dhidi ya African Sports
Jumatano ya December 16 Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Mkwakwani Tanga. Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara klabu ya Dar Es Salaam Young African walikuwa wageni wa klabu ya African Sports ya Tanga. Yanga ambao waliambulia sare ya bila kufungana katika dimba la Mkwakwani December 12 […]
The post Baada ya kudhibitiwa na Mgambo Dec 12, Yanga yafanikiwa kuondoka na point 3 dhidi ya African Sports appeared first on TZA_MillardAyo.