FRIENDS RANGERS YAFUFUA MATUMAINI YA LIGI KUU, AFRICAN SPORTS YAIKALISHA MAJIMAJI
BAO pekee la Ramadhani Hamidu dakika ya 20, limeipa ushindi wa 1-0 African Sports ya Tanga dhidi ya Majimaji, Uwanja wa Mkwakwani, mjini hapa katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara. Ushindi huo, unaifanya Sports itimize point 41 baada ya kushuka dimbani mara 19 ikiendelea kujikita kileleni mwa kundi A ya ligi daraja la kwanza. Timu mbili za kila kundi ufanikiwa kuingia VPL kila mwaka. Wanakimanumanu oyeeee kila la kheli katika michezo iliyo bakia.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YgVBKrw6g5c/VKWPKoanmjI/AAAAAAAG644/yk62JanmAsQ/s72-c/download.jpg)
friends rangers vs African lyon jino kwa jino uwanja wa karume kesho
9 years ago
Mwananchi11 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Majimaji FC imepandishwa na Mswahili, itashushwa na Mzungu?
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Sifa, Kagera Rangers, Bomu FC zimeibua nyota wengi Ligi Kuu
9 years ago
Habarileo28 Oct
Azam matumaini kibao Ligi Kuu
OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Azam FC, Saad Kawemba, ameelezea kufurahishwa na mwenendo wa timu yao kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu, huku akimsifia kocha wao Stewart Hall kwa mbinu anazotumia.
11 years ago
GPLMTIBWA YAIKALISHA AZAM FC TAMASHA LA MATUMAINI 2014
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4VwAopjQO_4/VZOII0BHdEI/AAAAAAAHmFo/vPkQgsjbCs4/s72-c/rangers.jpg)
Friends Rangers kuwavaa Azam
![](http://3.bp.blogspot.com/-4VwAopjQO_4/VZOII0BHdEI/AAAAAAAHmFo/vPkQgsjbCs4/s640/rangers.jpg)
Ofisa habari wa klabu hiyo Asha Kigundula, alisema kuwa mchezo huo utafanyika asubuhi kuanzia saa 2, asubuhi.
Kigundula alisema kuwa wameshukuru kupata mechi hiyo ambayo itaendelea kuiweka timu yao katika mazingira mazuri kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi daraja la kwanza.
Alisema kuwa kucheza na timu kama Azam...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kanumba Day yafufua matumaini ya filamu Bongo
9 years ago
Habarileo18 Oct
Friends Rangers safi Kombe la Magufuli
TIMU ya Friends Rangers imekamilisha idadi ya timu nne ambazo zimefuzu kucheza hatua ya Nusu Fainali ya michuano ya Kombe la Magufuli ‘Hapa Kazi Tu’ baada ya juzi kuifunga timu ya Faru Jeuri kwa bao 1-0.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/D4CT9AA2ZG8/default.jpg)