Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTIBWA YAIKALISHA AZAM FC TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Patashika wakati wa mtanange kati ya Azam FC na Mtibwa Sugar. Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Musa Mgosi (kushoto) akijaribu kumtoka beki wa Azam.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Azam, Mtibwa kunogesha Tamasha la Matumaini

Kikosi cha timu ya Azam, FC Na Khadija Mngwai
TIMU za Azam FC na Mtibwa Sugar, zinatarajiwa kunogesha Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu jijini Dar es Salaam kwa kushuka dimbani siku hiyo kuonyeshana ubabe. Tamasha hilo litahusishwa na burudani kibao ikiwa ni pamoja na mechi za Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa upande wa Simba na Yanga ambao wataonyeshana ubabe kwa kujua nani...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA

Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 FULL MSISIMKO

TAMASHA la Usiku wa Matumaini, Dar (Dar Night of Hope 2014) lililofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar lilikuwa ni full msisimko kutokana na matukio mbalimbali yaliyofanyika. Mgeni rasmi Dk.Mohamed Ghalib Bilal akikagua timu ya wabunge wa Simba. Makamu wa Rais Mh. Mohamed Gharib…

 

11 years ago

GPL

AZAM MEDIA WAMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA AJILI YA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI

Mkurugenzi wa Uhai Production ya Azam TV  Bw. Yahaya Mohamed, akikabidhi vifaa vya michezo  kwa Afisa Masoko wa Global Publishers Bw. Innocent Mafuru (katikati) ambao ndiyo waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini likalofanyika siku ya nane nane(08/08/2014) ,siku ya ijumaa katika uwanja wa Taifa Dar salaam. Vifaa hivi ni kwajili ya wabunge wa upande wa mashabiki wa Yanga. Mkurugenzi wa Uhai Production ya Azam TV  Bw....

 

10 years ago

Vijimambo

FRIENDS RANGERS YAFUFUA MATUMAINI YA LIGI KUU, AFRICAN SPORTS YAIKALISHA MAJIMAJI

BAO pekee la Ramadhani Hamidu dakika ya 20, limeipa ushindi wa 1-0 African Sports ya Tanga dhidi ya Majimaji, Uwanja wa Mkwakwani, mjini hapa katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara. Ushindi huo, unaifanya Sports itimize point 41 baada ya kushuka dimbani mara 19 ikiendelea kujikita kileleni mwa kundi A ya ligi daraja la kwanza. Timu mbili za kila kundi ufanikiwa kuingia VPL kila mwaka. Wanakimanumanu oyeeee kila la kheli katika michezo iliyo bakia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani