MTIBWA YAIKALISHA AZAM FC TAMASHA LA MATUMAINI 2014
Patashika wakati wa mtanange kati ya Azam FC na Mtibwa Sugar. Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Musa Mgosi (kushoto) akijaribu kumtoka beki wa Azam.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68Xggnh*18xDXHvQco9DzbwxiVVLBDhl*Ls1YUPAr2jgEqbQSBJ7qYQPq-oZS*2l3Q7ZXFW245fw-1*VlOvISdbjtN/azam.jpg)
Azam, Mtibwa kunogesha Tamasha la Matumaini
Kikosi cha timu ya Azam, FC Na Khadija Mngwai
TIMU za Azam FC na Mtibwa Sugar, zinatarajiwa kunogesha Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu jijini Dar es Salaam kwa kushuka dimbani siku hiyo kuonyeshana ubabe. Tamasha hilo litahusishwa na burudani kibao ikiwa ni pamoja na mechi za Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa upande wa Simba na Yanga ambao wataonyeshana ubabe kwa kujua nani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZcQC0Z7ojHaPdVlpPGbFfl5xXvfKrMumU7dt0z1RYinBiBX4AYozwOCp5*JgVt8nYP8klBzc4hgVIBU741yeIZD/TAMASHALAMATUMAINIA3copy.jpg?width=750)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7OLFn5rqm-Vdw1JhAA3MRM5UsJ*FELdjbEnc4oPrYC89XCrNu6yaw186WxsDJRZHtEzq3frQ7xx4zf77Tj2lIJJ/BillbA3.jpg?width=750)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyfrBYwMGBUpfryplb690oGCAu5IeHY3ZAOMW41FwjXsE9hwRjW26cF9ox8MCumVNWZZ1HpgbotROnvtMgqhpbe/Billboard280cmx380cm3.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBdUMCI1Oc*CquB0ke-LTHFsCYdABZx0qk*j6UrjlI6EvdZhuhdh*DfkYwDGCHEgiY553rhokuDHbb3m043yOF0/tamasha.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA
Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8bD62HksPjRPGZm-6CiUTUhnJw1TB1WqUbPMM4LwyHSyk4PVh1sL5n6TFsK8C41P506-54XBimYQyZqgrfxCtem2eWuB9Aa/FRONTJUMAMOSI111111.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 FULL MSISIMKO
TAMASHA la Usiku wa Matumaini, Dar (Dar Night of Hope 2014) lililofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar lilikuwa ni full msisimko kutokana na matukio mbalimbali yaliyofanyika. Mgeni rasmi Dk.Mohamed Ghalib Bilal akikagua timu ya wabunge wa Simba. Makamu wa Rais Mh. Mohamed Gharib…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtGhFnOej60udUkCqu-hyZsrPt-tFNa5HIc7HMEgAYwQlau*DoYnOSrKy0evdMyFeWaLsTnFFJJ4T2JEg3RXhId5/10copy.jpg?width=750)
11 years ago
GPLAZAM MEDIA WAMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA AJILI YA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI
Mkurugenzi wa Uhai Production ya Azam TV Bw. Yahaya Mohamed, akikabidhi vifaa vya michezo kwa Afisa Masoko wa Global Publishers Bw. Innocent Mafuru (katikati) ambao ndiyo waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini likalofanyika siku ya nane nane(08/08/2014) ,siku ya ijumaa katika uwanja wa Taifa Dar salaam. Vifaa hivi ni kwajili ya wabunge wa upande wa mashabiki wa Yanga. Mkurugenzi wa Uhai Production ya Azam TV Bw....
10 years ago
Vijimambo27 Jan
FRIENDS RANGERS YAFUFUA MATUMAINI YA LIGI KUU, AFRICAN SPORTS YAIKALISHA MAJIMAJI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania