NDONDO CUP (Kauzu FC vs Friends Rangers)
![](http://img.youtube.com/vi/D4CT9AA2ZG8/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Jul
SPORTS XTRA NDONDO CUP YAZINDULIWA RASMI, ABAJALO, FC KAUZU MUZIKI WAO..OGOPA SANA!
![3](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/37.jpg)
Msimu wa pili wa mashindano ya Sports Xtra Ndondo Cup chini ya udhamini wa Dr. Mwaka, Daktari bingwa wa masuala ya Afya ya uzazi na Tiba asilia kutoka kituo cha Foreplan Clinic, kilichopo Bungoni, Ilala, Dar es salaam umezinduliwa rasmi katika uwanja wa Bandari, Tandika, jijini Dar es salaam.
Mechi ya ufunguzi yenye mvuto wa aina yake imepigwa jana ikiwakutanisha mabingwa watetezi, Abajalo FC ya Sinza Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4VwAopjQO_4/VZOII0BHdEI/AAAAAAAHmFo/vPkQgsjbCs4/s72-c/rangers.jpg)
Friends Rangers kuwavaa Azam
![](http://3.bp.blogspot.com/-4VwAopjQO_4/VZOII0BHdEI/AAAAAAAHmFo/vPkQgsjbCs4/s640/rangers.jpg)
Ofisa habari wa klabu hiyo Asha Kigundula, alisema kuwa mchezo huo utafanyika asubuhi kuanzia saa 2, asubuhi.
Kigundula alisema kuwa wameshukuru kupata mechi hiyo ambayo itaendelea kuiweka timu yao katika mazingira mazuri kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi daraja la kwanza.
Alisema kuwa kucheza na timu kama Azam...
9 years ago
Habarileo30 Aug
Friends Rangers sasa nusu fainali
TIMU ya Friends Rangers imekuwa timu ya tatu kukata tiketi ya kucheza nusu fainali ya mashindano ya Ndondo Cup baada ya kuifunga Boom FC bao 1-0 kwenye Uwanja wa Bandari Temeke.
9 years ago
Habarileo18 Oct
Friends Rangers safi Kombe la Magufuli
TIMU ya Friends Rangers imekamilisha idadi ya timu nne ambazo zimefuzu kucheza hatua ya Nusu Fainali ya michuano ya Kombe la Magufuli ‘Hapa Kazi Tu’ baada ya juzi kuifunga timu ya Faru Jeuri kwa bao 1-0.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p0Ez1Z5X67c/Vl8NFM_JPhI/AAAAAAAIJz8/4JvlHGpdIvc/s72-c/IMG-20150623-WA0092.jpg)
Friends Rangers yawanasa wakali wanne wa soka
![](http://1.bp.blogspot.com/-p0Ez1Z5X67c/Vl8NFM_JPhI/AAAAAAAIJz8/4JvlHGpdIvc/s640/IMG-20150623-WA0092.jpg)
VINARA wa Ligi Daraja la Kwanza katika kundi (A) klabu ya Friends Rangers, imesajili wachezaji wanne ambao Emanuel Gabriel, Fred Cosmas, Mussa John 'Rooney' na Ramadhan Chombo 'Redondo' kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi hiyo unaotarajia kuanza hivi karibuni.
Ofisa Habari wa klabu hiyo Asha Kigundula, alisema kuwa katika kuhimalisha kikosi chao, wameamua waongeze wachezaji wanne ambao watasaidia kupandisha timu yao.
Kigundula alisema kuwa hata hivyo kikosi chao ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s72-c/Asha-Kigundula1.jpg)
Friends Rangers kukipiga na Kimondo katika uwanja wa Karume Kesho
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s1600/Asha-Kigundula1.jpg)
VINARA wa Ligi Daraja la kwanza katika kundi A, timu ya Friends Rangers, kesho wanashuka katika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, kuvaana na timu ya Kimondo, katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza.
Ofisa Habari wa klabu hiyo, Asha Kigundula, amewataka wapenzi wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo, kuwapa hamasa wachezaji wao. Kigundula alisema kuwa wana amini mchezo huo utakuwa mgumu, lakini kujitokeza kwa wapenzi wengi kutawafanya wachezaji wao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s72-c/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
friends rangers kukipiga na ndanda fc uwanja wa makurumla magomeni mwembechai kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s1600/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Jan
FRIENDS RANGERS YAFUFUA MATUMAINI YA LIGI KUU, AFRICAN SPORTS YAIKALISHA MAJIMAJI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1-001.jpg)
FAINALI NDONDO CUP
Kikosi cha Kauzu FC katika ubora wake. Kikosi cha Faru Jeuri. Mmoja wa mashabiki ambaye alikuwa hajui hata majina ya timu zilizokuwa zikicheza. Chibuku na viroba vya pombe kali ilikuwa ndio mpango mzima. Mashabiki wa Kauzu FC, wakati wa mapumziko.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania