Friends Rangers sasa nusu fainali
TIMU ya Friends Rangers imekuwa timu ya tatu kukata tiketi ya kucheza nusu fainali ya mashindano ya Ndondo Cup baada ya kuifunga Boom FC bao 1-0 kwenye Uwanja wa Bandari Temeke.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4VwAopjQO_4/VZOII0BHdEI/AAAAAAAHmFo/vPkQgsjbCs4/s72-c/rangers.jpg)
Friends Rangers kuwavaa Azam
![](http://3.bp.blogspot.com/-4VwAopjQO_4/VZOII0BHdEI/AAAAAAAHmFo/vPkQgsjbCs4/s640/rangers.jpg)
Ofisa habari wa klabu hiyo Asha Kigundula, alisema kuwa mchezo huo utafanyika asubuhi kuanzia saa 2, asubuhi.
Kigundula alisema kuwa wameshukuru kupata mechi hiyo ambayo itaendelea kuiweka timu yao katika mazingira mazuri kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi daraja la kwanza.
Alisema kuwa kucheza na timu kama Azam...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/D4CT9AA2ZG8/default.jpg)
9 years ago
Habarileo18 Oct
Friends Rangers safi Kombe la Magufuli
TIMU ya Friends Rangers imekamilisha idadi ya timu nne ambazo zimefuzu kucheza hatua ya Nusu Fainali ya michuano ya Kombe la Magufuli ‘Hapa Kazi Tu’ baada ya juzi kuifunga timu ya Faru Jeuri kwa bao 1-0.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p0Ez1Z5X67c/Vl8NFM_JPhI/AAAAAAAIJz8/4JvlHGpdIvc/s72-c/IMG-20150623-WA0092.jpg)
Friends Rangers yawanasa wakali wanne wa soka
![](http://1.bp.blogspot.com/-p0Ez1Z5X67c/Vl8NFM_JPhI/AAAAAAAIJz8/4JvlHGpdIvc/s640/IMG-20150623-WA0092.jpg)
VINARA wa Ligi Daraja la Kwanza katika kundi (A) klabu ya Friends Rangers, imesajili wachezaji wanne ambao Emanuel Gabriel, Fred Cosmas, Mussa John 'Rooney' na Ramadhan Chombo 'Redondo' kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi hiyo unaotarajia kuanza hivi karibuni.
Ofisa Habari wa klabu hiyo Asha Kigundula, alisema kuwa katika kuhimalisha kikosi chao, wameamua waongeze wachezaji wanne ambao watasaidia kupandisha timu yao.
Kigundula alisema kuwa hata hivyo kikosi chao ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s72-c/Asha-Kigundula1.jpg)
Friends Rangers kukipiga na Kimondo katika uwanja wa Karume Kesho
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s1600/Asha-Kigundula1.jpg)
VINARA wa Ligi Daraja la kwanza katika kundi A, timu ya Friends Rangers, kesho wanashuka katika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, kuvaana na timu ya Kimondo, katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza.
Ofisa Habari wa klabu hiyo, Asha Kigundula, amewataka wapenzi wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo, kuwapa hamasa wachezaji wao. Kigundula alisema kuwa wana amini mchezo huo utakuwa mgumu, lakini kujitokeza kwa wapenzi wengi kutawafanya wachezaji wao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s72-c/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
friends rangers kukipiga na ndanda fc uwanja wa makurumla magomeni mwembechai kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s1600/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Jan
FRIENDS RANGERS YAFUFUA MATUMAINI YA LIGI KUU, AFRICAN SPORTS YAIKALISHA MAJIMAJI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YgVBKrw6g5c/VKWPKoanmjI/AAAAAAAG644/yk62JanmAsQ/s72-c/download.jpg)
friends rangers vs African lyon jino kwa jino uwanja wa karume kesho
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.
Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;
Everton 2 – 0 Middlesbrough
Manchester City 4 – 1 Hull City
Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday
Southampton 1 – 6 Liverpool
Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...