Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtihani kwa Mbeya City, African Sports

Mbeya City na African Sports zitashuka uwanjani leo kwenye mechi zinazoweza kuwa ufufuo au majanga kutokana na aina ya matokeo yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtihani wa timu ngeni Ligi Kuu na nyayo za Mbeya City 2013/14

TIMU ngeni katika Ligi Kuu ya msimu ujao ambao utaanza Septemba 20, ni Ndanda FC ya Mtwara, Polisi ya Morogoro na Stand United ya Shinyanga zikiziba nafasi ya zilizoshuka ambazo...

 

10 years ago

TheCitizen

BEHIND SPORTS COVERAGE: Mbeya City officials’ advice to VPL newcomers proper, timely

>Last week I was elated with what Mbeya City soccer club officials told some of the officials from the three clubs from Mtwara, Shinyanga and Morogogoro regions which have just been promoted to the Vodacom Premier League; Ndanda FC, Stand United and Polisi respectively.

 

10 years ago

StarTV

Mbeya wafanya vibaya mtihani daraza la saba kwa miaka minne mfululizo.

Na Amina Saidi,

Mbeya. 

 

 

Mkoa wa Mbeya umeendelea kufanya vibaya katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi kwa miaka minne mfululizo ambapo mwaka huu imekuwa na ufaulu wa asilimia 47 chini ya Mpango wa Taifa wa Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa BRN.

 

Kutokana na ufaulu mbaya, mkoa huo umekuwa miongoni mwa mikoa tisa nchini iliyotakiwa kueleza sababu za msingi za ufaulu duni pamoja na kuweka mikakati ya kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wake.

 

Mikoa mingine iliyoingia katika janga...

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yaandaa dozi kwa African Sports

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya wengi kuibeza timu hiyo na kuona haitafanya vizuri msimu huu, lakini anaamini itawanyamazisha wote kwa kutwaa ubingwa msimu ujao.

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Mbeya City kujipima kwa Shooting

TIMU ya Mbeya City inatarajiwa kujipima na Ruvu Shooting Jumapili katika mchezo wa kirafiki utakaochezwa kwenye uwanja wa Mabatini, Mlandizi ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao kuekelea michuano ya Ligi Kuu.

 

9 years ago

StarTV

Kaseja arudi kwa kishindo Mbeya City

BAADA ya msimu mmoja wa kuwa nje, hatimaye mlinda mlango mkongwe Tanzania, Juma Kaseja Juma amerudi kazini baada ya jana kusaini Mkataba wa miezi sita kujiunga na Mbeya City FC. Kaseja amekuwa mchezaji huru tangu aondoke Yanga SC msimu uliopita- ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu arejee Jangwani akitokea klabu aliyoichezea kwa miaka tisa, Simba SC.
Kaseja alijiunga na Simba SC mwaka 2002 akitokea Moro United kabla ya mwaka 2009, kuhamia Yanga kwa mwaka mmoja kabla ya kurejea Msimbazi mwaka...

 

9 years ago

Habarileo

Prisons kumalizia hasira kwa Mbeya City

NAHODHA wa Tanzania Prisons, Laurian Mpalile amesema mchezo dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu lakini haiwafanyi kuogopa kucheza nao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City yafungua milango kwa wafadhili

UONGOZI wa Mbeya City umezidi kufungua milango kwa makampuni na wafanyabishara kuwekeza  kwao kwa maslahi ya pande zote, hasa soka la Tanzania. Katibu wa Mbeya City, Emmanuel Kimbe akizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani