Mtihani kwa Mbeya City, African Sports
Mbeya City na African Sports zitashuka uwanjani leo kwenye mechi zinazoweza kuwa ufufuo au majanga kutokana na aina ya matokeo yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Mtihani wa timu ngeni Ligi Kuu na nyayo za Mbeya City 2013/14
TIMU ngeni katika Ligi Kuu ya msimu ujao ambao utaanza Septemba 20, ni Ndanda FC ya Mtwara, Polisi ya Morogoro na Stand United ya Shinyanga zikiziba nafasi ya zilizoshuka ambazo...
10 years ago
TheCitizen25 Aug
BEHIND SPORTS COVERAGE: Mbeya City officials’ advice to VPL newcomers proper, timely
10 years ago
StarTV22 Dec
Mbeya wafanya vibaya mtihani daraza la saba kwa miaka minne mfululizo.
Na Amina Saidi,
Mbeya.
Mkoa wa Mbeya umeendelea kufanya vibaya katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi kwa miaka minne mfululizo ambapo mwaka huu imekuwa na ufaulu wa asilimia 47 chini ya Mpango wa Taifa wa Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa BRN.
Kutokana na ufaulu mbaya, mkoa huo umekuwa miongoni mwa mikoa tisa nchini iliyotakiwa kueleza sababu za msingi za ufaulu duni pamoja na kuweka mikakati ya kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wake.
Mikoa mingine iliyoingia katika janga...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Simba yaandaa dozi kwa African Sports
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
9 years ago
Habarileo03 Sep
Mbeya City kujipima kwa Shooting
TIMU ya Mbeya City inatarajiwa kujipima na Ruvu Shooting Jumapili katika mchezo wa kirafiki utakaochezwa kwenye uwanja wa Mabatini, Mlandizi ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao kuekelea michuano ya Ligi Kuu.
9 years ago
StarTV20 Aug
Kaseja arudi kwa kishindo Mbeya City
Kaseja alijiunga na Simba SC mwaka 2002 akitokea Moro United kabla ya mwaka 2009, kuhamia Yanga kwa mwaka mmoja kabla ya kurejea Msimbazi mwaka...
9 years ago
Habarileo19 Sep
Prisons kumalizia hasira kwa Mbeya City
NAHODHA wa Tanzania Prisons, Laurian Mpalile amesema mchezo dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu lakini haiwafanyi kuogopa kucheza nao.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mbeya City yafungua milango kwa wafadhili
UONGOZI wa Mbeya City umezidi kufungua milango kwa makampuni na wafanyabishara kuwekeza kwao kwa maslahi ya pande zote, hasa soka la Tanzania. Katibu wa Mbeya City, Emmanuel Kimbe akizungumza na...