Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya wafanya vibaya mtihani daraza la saba kwa miaka minne mfululizo.

Na Amina Saidi,

Mbeya. 

 

 

Mkoa wa Mbeya umeendelea kufanya vibaya katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi kwa miaka minne mfululizo ambapo mwaka huu imekuwa na ufaulu wa asilimia 47 chini ya Mpango wa Taifa wa Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa BRN.

 

Kutokana na ufaulu mbaya, mkoa huo umekuwa miongoni mwa mikoa tisa nchini iliyotakiwa kueleza sababu za msingi za ufaulu duni pamoja na kuweka mikakati ya kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wake.

 

Mikoa mingine iliyoingia katika janga...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mtihani kwa Mbeya City, African Sports

Mbeya City na African Sports zitashuka uwanjani leo kwenye mechi zinazoweza kuwa ufufuo au majanga kutokana na aina ya matokeo yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Aishi kwenye handaki kwa miaka minne

>Tunaposikia handaki, fikra zinatupeleka moja kwa moja kwenye vita kwani aghalabu, mahandaki hutumiwa na watu kujificha wakati wa vita.

 

9 years ago

Mwananchi

Ujangili wapoteza asilimia 67 ya tembo kwa miaka minne

Tanzania ni nchi ya kwanza Afrika kuadhimisha Siku ya Tembo Duniani, ambayo huadhimishwa Septemba 22 ya kila mwaka, mwaka huu yakitimiza miaka 15 .

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji jela miaka minne kwa kuuza watu nje

Mchungaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jean Bamana amehukumiwa kwenda jela miaka minne baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh10 milioni kwa kosa la kujihusisha na biashara ya kusafirisha binadamu.

 

9 years ago

StarTV

Serikali yatoa siku saba kwa Wafanya biashara Kuhamia Soko La Mwanjelwa

Serikali imetoa muda wa siku saba kwa Wafanyabiashara waliokuwa wapangaji wa Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya wakati soko hilo linaungua moto mwaka 2006 kuomba upya nafasi za kufanya biashara kwenye eneo hilo baada ya kukamilika kwa ujenzi wake.

Serikali imetoa agizo hilo kutokana na kusuasua kwa Wafanyabiashara hao kuomba nafasi hizo licha ya kupewa kipaumbele cha kwanza kati ya wananchi wote wanaohitaji maeneo ya kufanyia biashara katika soko hilo.

 Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya limeungua...

 

11 years ago

CloudsFM

MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOKSI KWA MIAKA MINNE KUZIKWA KWA HESHIMA ZOTE,KUAGWA KATIKA UWANJA WA JAMHURI,MOROGORO

Msiba wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa miaka minne, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, imeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini.


Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa hospitali hiyo, Aminiel Aligaeshi.


Mwishoni...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mbunge na Diwani Chadema wakwamisha maendeleo jimboni kwa miaka minne

13

Ujenzi wa Shule ya Msingi Unyaghumpi ukiendelea katika Jimbo la Singida Mashariki la Mbunge Tundu Lissu,ambaye anadaiwa kuwakataza  wananchi kuchangia fedha za kujengea vyumba vya madarasa katika shule hiyo.

12

Mmoja wa Viongozi wa CCM, Wilaya akimpatia tofari Kinana walipokuwa wakisaidia ujenzi wa Shule ya Msingi Unyaghumpi, katika Jimbo la Singida Mashariki la Mbunge Tundu Lissu. Mbunge huyo anadaiwa kuwakataza  wananchi kuchangia fedha za kujengea vyumba vya madarasa katika shule hiyo....

 

9 years ago

Habarileo

800 wafanya mtihani kidato cha 4

WANAFUNZI 831 wa shule za sekondari Mjini Lindi mkoani humo, wanafanya mtihani wa kumaliza kidato cha nne mwaka huu. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi, Jumaary Satura aliyasema hayo jana wakati alipokuwa akizungumza na HabariLeo mjini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani