800 wafanya mtihani kidato cha 4
WANAFUNZI 831 wa shule za sekondari Mjini Lindi mkoani humo, wanafanya mtihani wa kumaliza kidato cha nne mwaka huu. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi, Jumaary Satura aliyasema hayo jana wakati alipokuwa akizungumza na HabariLeo mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Apr
Mtihani mpya kidato cha 4
WANAFUNZI wa Kidato cha Nne, watafanya mitihani miwili ya Taifa mwaka huu, baada ya kuongezwa mtihani wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), ambao utatumika kuwapima walivyojiandaa na Mtihani wa Taifa wa Kumaliza Elimu ya Sekondari.
10 years ago
Habarileo01 Nov
Mtihani Kidato cha Nne Jumatatu
MTIHANI wa Taifa wa Kidato cha Nne na Mtihani wa Maarifa wa mwaka 2014 unatarajiwa kufanyika nchini kote kwa takribani siku 20 kuanza keshokutwa huku idadi ya watahiniwa ikiwa pungufu ikilinganishwa na watahiniwa wa mwaka jana.
9 years ago
Habarileo02 Nov
Kidato cha 4 kuanza mtihani leo
WATAHINIWA 448,358 wa shule na wa kujitegemea wanatarajia kufanya mtihani wa kumaliza Kidato cha Nne unaotarajia kuanza kufanyika leo nchi nzima.
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Kidato cha nne waanza mtihani wa Taifa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mB7f2oJadjU/VLukCf7HEOI/AAAAAAAG-Ks/MKd7bmkrf4o/s72-c/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Tangazo la Mtihani wa Kidato cha Nne 2015
KUONA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2014 BOFYA HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-mB7f2oJadjU/VLukCf7HEOI/AAAAAAAG-Ks/MKd7bmkrf4o/s1600/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Tanzania (NECTA), Dk. Charles Msonde.Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato Cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) Mwezi Novemba 2015 kwamba usajili umeanza rasmi tarehe 01 Januari 2015.
Watahiniwa watakaojisajili katika kipindi cha kawaida yaani tarehe 01 Januari 2015 hadi 28 Februari 2015...
10 years ago
VijimamboMWANADIASPORA DMV AHUTUBIA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE NA KUWATIA MOYO SIKU 2 KABLA YA MTIHANI WA MWISHO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s72-c/download.jpg)
NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s1600/download.jpg)
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zSlEfiRqINs/VcIaf4sCu8I/AAAAAAAHuY8/P-uYt6sb9Pg/s72-c/image.jpg)
SHULE ZA BINAFSI ZAONGOZA MATOKEO YA MTIHANI WA UTIMILIFU (MOCK) KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KIDATO CHA NNE JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-zSlEfiRqINs/VcIaf4sCu8I/AAAAAAAHuY8/P-uYt6sb9Pg/s640/image.jpg)
Na Aron Msigwa -MAELEZO.MATOKEO ya mtihani wa Utimilifu kwa wanafunzi wanaosoma kidato cha nne katika shule za Sekondari za jiji la Dare es salaam yametolewa leo jijini Dar es salaam yakiwa na alama za juu za ufaulu kwa wanafunzi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fl5hAid20NE/UvTWYyy4-QI/AAAAAAAFLlk/wJGXHs7uARc/s72-c/unnamed+(58).jpg)
Wazazi Shule ya Sekondari St. Anne Marie waomba watoto wao waruhiswe kufanya mtihani wa Mock kidato cha Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-fl5hAid20NE/UvTWYyy4-QI/AAAAAAAFLlk/wJGXHs7uARc/s1600/unnamed+(58).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ky4MtyKP8K4/UvTWY-TAg5I/AAAAAAAFLlo/-UmnvnEqhgU/s1600/unnamed+(59).jpg)