Serikali yatoa siku saba kwa Wafanya biashara Kuhamia Soko La Mwanjelwa
Serikali imetoa muda wa siku saba kwa Wafanyabiashara waliokuwa wapangaji wa Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya wakati soko hilo linaungua moto mwaka 2006 kuomba upya nafasi za kufanya biashara kwenye eneo hilo baada ya kukamilika kwa ujenzi wake.
Serikali imetoa agizo hilo kutokana na kusuasua kwa Wafanyabiashara hao kuomba nafasi hizo licha ya kupewa kipaumbele cha kwanza kati ya wananchi wote wanaohitaji maeneo ya kufanyia biashara katika soko hilo.
Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya limeungua...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-FLTfSE_WZ7o/XoAm5iwLlsI/AAAAAAAA-u0/3S39nwBzo9M_mTuz7Fva0XCM-b78opgHwCNcBGAsYHQ/s72-c/13.jpg)
MOTO UKITEKETEZA SOKO LA WAFANYA BIASHARA WADOGO ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FLTfSE_WZ7o/XoAm5iwLlsI/AAAAAAAA-u0/3S39nwBzo9M_mTuz7Fva0XCM-b78opgHwCNcBGAsYHQ/s640/13.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9KdfSJBV7w/XoAm5suMwMI/AAAAAAAA-u4/P0VhJlLywtcX2x9LQhomN7w3TgMYnNowQCNcBGAsYHQ/s640/12.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-im_BeEbz9no/XoAm5pBhy0I/AAAAAAAA-uw/iTaUXB1p5IsNH1K1ldQFGJOu5cFIgNWIACNcBGAsYHQ/s640/11.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MpRanmFZCgs/XoAm6VliIQI/AAAAAAAA-u8/65_3D4tpzpI0JO9zLkeEBGFCa7JYQW2lQCNcBGAsYHQ/s640/14.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-i3EdvQPDis8/XoAnQUN3FqI/AAAAAAAA-vU/_6Ai-iTmdz4L-Lg-vyTWlz5pr6Lw05kFgCNcBGAsYHQ/s640/16.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-efIwbsgXgUE/XoAnQc3vxZI/AAAAAAAA-vQ/FVCuASqkHJ8Az_ouj32ZVmDUpEBzi14IACNcBGAsYHQ/s640/17.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-hi8iB7Sv-Oc/XoAnQRtSDAI/AAAAAAAA-vY/h0_FxSktvQMxH4IXdNY42ISYk-_wnluWwCNcBGAsYHQ/s640/18.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CZHfw9OPFGg/VYe5zkQovQI/AAAAAAAAfMA/FgypuSSxG7Y/s72-c/3.jpg)
KINANA AKUTANA NA WAFANYA BIASHARA WA SOKO KUU SENGEREMA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-CZHfw9OPFGg/VYe5zkQovQI/AAAAAAAAfMA/FgypuSSxG7Y/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1biuRIbPLKQ/VYe50MHnk3I/AAAAAAAAfME/AgmRRGurb98/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b8Ty1NLFl8g/VYe53IGLmmI/AAAAAAAAfMQ/wzeQqXdj75E/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-45lCw0LtKts/VYe5wpk9IXI/AAAAAAAAfL4/IEI9hUumQZs/s1600/10.jpg)
9 years ago
MichuziSerikali yatoa siku 14 kwa mgodi wa Buckreef kuanza uzalishaji
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani ametoa siku 14 kwa mgodi wa dhahabu wa Buckreef kuanza uzalishaji ama sivyo wataandikiwa hati ya makosa na Afisa Madini Mkazi katika mkoa wa Geita. Naibu Waziri alitoa agizo hilo baada ya kufika katika mgodi huo uliopo katika kata ya Lwamgasa mkoani Geita na kuona hakuna shughuli zozote za uzalishaji zinazoendelea.
“Najua kuwa hamjazalisha dhahabu mpaka sasa, lakini lazima mzalishe ili kulipa kodi na mrabaha,...
10 years ago
Mwananchi27 May
UTT kusimamia Soko la Kimataifa la Mwanjelwa
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Wafanyabiashara: Soko la Mwanjelwa mali yetu
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-M7Vrzjbo9J0/Uuhw0a5XFEI/AAAAAAAALfE/Te_8go2kwX0/s1600/20140128_165947.jpg)
NAPE AJICHANGANYA NA WANANCHI SOKO LA MWANJELWA MBEYA
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Ujenzi wa Soko la Mwanjelwa Mbeya kuendelea tena
10 years ago
MichuziSOKO LA MWANJELWA JIJINI MBEYA LATARAJIWA KUFUNGULIWA MEI 2015
Akiendelea kuzumza,Mkandarasi huyo amesema kuwa hali ya Ujenzi inaendelea vyema na wapo kwenye hatua za mwisho,hivyo hadi mwezi...