UTT kusimamia Soko la Kimataifa la Mwanjelwa
>Wakati ufunguzi wa Soko la Kimataifa la Mwanjelwa ukisubiri kujengwa wigo wa soko hilo, Kampuni ya Uwekezaji Kwenye Miradi (UTT-PI)Â ndiyo itakayosimamia uendeshaji wa soko wake kimataifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Wafanyabiashara: Soko la Mwanjelwa mali yetu
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Ujenzi wa Soko la Mwanjelwa Mbeya kuendelea tena
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-M7Vrzjbo9J0/Uuhw0a5XFEI/AAAAAAAALfE/Te_8go2kwX0/s1600/20140128_165947.jpg)
NAPE AJICHANGANYA NA WANANCHI SOKO LA MWANJELWA MBEYA
10 years ago
MichuziSOKO LA MWANJELWA JIJINI MBEYA LATARAJIWA KUFUNGULIWA MEI 2015
Akiendelea kuzumza,Mkandarasi huyo amesema kuwa hali ya Ujenzi inaendelea vyema na wapo kwenye hatua za mwisho,hivyo hadi mwezi...
9 years ago
StarTV27 Nov
Serikali yatoa siku saba kwa Wafanya biashara Kuhamia Soko La Mwanjelwa
Serikali imetoa muda wa siku saba kwa Wafanyabiashara waliokuwa wapangaji wa Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya wakati soko hilo linaungua moto mwaka 2006 kuomba upya nafasi za kufanya biashara kwenye eneo hilo baada ya kukamilika kwa ujenzi wake.
Serikali imetoa agizo hilo kutokana na kusuasua kwa Wafanyabiashara hao kuomba nafasi hizo licha ya kupewa kipaumbele cha kwanza kati ya wananchi wote wanaohitaji maeneo ya kufanyia biashara katika soko hilo.
Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya limeungua...
9 years ago
MichuziJIJI LA MBEYA LAJIPANGA KUKUSANYA KODI KATIKA MRADI WA SOKO JIPYA LA MWANJELWA
Na EmanuelMadafa, MbeyaHALMASHAURI ya Jiji la Mbeya, imesema imejipanga vyema katika kuhakikisha mradi mkubwa wa soko jipya la mwanjelwa unasimamiwa kikamilifu kwa kufuata taratibu za serikali sanjali na mikataba iliyoingia na benki ya CRDB kwa kipindi cha miaka 15.
Mradi huo wa soko la kimataifa la Mwanjelwa lililopo jijini Mbeya ujenzi wake imefikia asilimia 99 hivyo upo katika hatua za mwisho za kukamilika kwake.
Akizungumza ofisini...
10 years ago
MichuziUTT AMIS YASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA 39 NA KUTOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWENYE MIFUKO YA PAMOJA KWA WANANCHI
Mpaka sasa UTT AMIS inaendesha mifuko mitano ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa Wekeza Maisha, Mfuko wa Watoto,...
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!
Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki (kushoto) na Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) inafanya miradi mbalimbali ikiwemo huduma za uuzwaji wa viwanja katika...