MOTO UKITEKETEZA SOKO LA WAFANYA BIASHARA WADOGO ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FLTfSE_WZ7o/XoAm5iwLlsI/AAAAAAAA-u0/3S39nwBzo9M_mTuz7Fva0XCM-b78opgHwCNcBGAsYHQ/s72-c/13.jpg)
Moto mkubwa uliozuka katika soko maarufu la wafanyabiashara wadogo wadogo jijini Arusha umeteketeza nusu ya mali katika enao hilo ikwemo vibanda vya nguo na vitu ambapo mapaka sasa thamani ya mali hizo haijajulikana huku taaridfa za awali zikielezwa kuwa chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme Gari ya zimamoto likiwa katika eneo la tukio
Baadi ya wananchi wakishuhudiwa na kujaribui kuokoa baadhi ya mali
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CZHfw9OPFGg/VYe5zkQovQI/AAAAAAAAfMA/FgypuSSxG7Y/s72-c/3.jpg)
KINANA AKUTANA NA WAFANYA BIASHARA WA SOKO KUU SENGEREMA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-CZHfw9OPFGg/VYe5zkQovQI/AAAAAAAAfMA/FgypuSSxG7Y/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1biuRIbPLKQ/VYe50MHnk3I/AAAAAAAAfME/AgmRRGurb98/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b8Ty1NLFl8g/VYe53IGLmmI/AAAAAAAAfMQ/wzeQqXdj75E/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-45lCw0LtKts/VYe5wpk9IXI/AAAAAAAAfL4/IEI9hUumQZs/s1600/10.jpg)
9 years ago
StarTV27 Nov
Serikali yatoa siku saba kwa Wafanya biashara Kuhamia Soko La Mwanjelwa
Serikali imetoa muda wa siku saba kwa Wafanyabiashara waliokuwa wapangaji wa Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya wakati soko hilo linaungua moto mwaka 2006 kuomba upya nafasi za kufanya biashara kwenye eneo hilo baada ya kukamilika kwa ujenzi wake.
Serikali imetoa agizo hilo kutokana na kusuasua kwa Wafanyabiashara hao kuomba nafasi hizo licha ya kupewa kipaumbele cha kwanza kati ya wananchi wote wanaohitaji maeneo ya kufanyia biashara katika soko hilo.
Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya limeungua...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s72-c/MOTO754.jpg)
MOTO WATEKETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s640/MOTO754.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dip9yWahtyg/VGtYFk8Rs2I/AAAAAAAANss/mRpHtdn0Pkg/s640/MOTO43.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xc93peXk1Us/VGtYHJS-laI/AAAAAAAANs0/sQKlV0o4iiQ/s640/MOTO432.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-44eNqzWsJpI/VGtYaLJqRzI/AAAAAAAANts/Ttlccv-g-D0/s640/MOTO%2B56.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_dxAJiZ42Ok/VGtYeWNnlLI/AAAAAAAANt0/PpSEgLzzz_A/s640/MOTO%2B57.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ycQOuvsWixk/VGtYjE7erEI/AAAAAAAANuA/Im03XYnqoMA/s640/MOTO%2B89.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s72-c/MOTO754.jpg)
MOTO WATETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI LIJULIKANALO KAMA MT.MERU CURIOS & CRAFTS MARKET JIJINI ARUSHA
Mulongo ambaye alifatana na kamati ya Ulinzi na Usalama alishangaa kuona maduka hayo ambayo yapo jirani na Kikosi cha Zima Moto kushindwa kuzima moto na kusababisha hasara kwa wananchi.
"Sitakubali kuona uzembe unaendelea katika mkoa wetu,lazima watu wawajibishwe kwa uzembe hasa Kikosi cha kuzima moto...
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
TPHA wafanya kongamano la kupinga matumizi ya bidhaa za Tumbaku kwa vijana wadogo
Mratibu wa Mradi wa Madhara ya Tumbaku (TPHA) Dk. Bertha T.A. Maegga akizungumza wakati akifungua kongamano hilo lililo washirikisha wadau mbalimbali kwa kutoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku. (Picha na Geofrey Adroph).
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam] Chama cha Afya ya Jamii nchini (TPHA), kimeendesha kongamano maalum kwa wanafunzi wa shule msingi zaidi ya Saba ndani ya Manispaa ya Kinondoni kwa lengo la kutoa elimu ya madhara yatokanayo na utumiaji wa bidhaa za Tumbaku...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ONvPfBo393g/VlRgT0jFYrI/AAAAAAAIIPI/4xAs3AEr8_w/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
TAARIFA KUHUSU MADAI YA WAKULIMA WADOGO WA MIWA WA KILOMBERO KUKOSA SOKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ONvPfBo393g/VlRgT0jFYrI/AAAAAAAIIPI/4xAs3AEr8_w/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
Katika agizo hilo, Katibu Mkuu Bibi Sophia Kaduma ameiagiza Bodi ya Sukari Tanzania kukuta na Uongozi wa Kiwanda cha Sukari cha Kilombero na ule wa wakulima wadogo wa miwa ili kupata ufumbuzi wa kudumu...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
MWANAHAMISI LIMAMU : Nasomesha wadogo zangu kwa biashara ya saluni
DHANA ya ujasiriamali inamuwezesha mtu kujishughulisha na kuthubutu kufanya biashara ili kujiingizia kipato cha kila siku na kuendesha maisha yake ili mradi tu uwe na ubunifu. Kutokana na ubunifu huo,...
9 years ago
StarTV07 Nov
Wafanya biashara watakiwa kuanzisha Viwanda endelevu.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania Johnson Minja amesema nchi itakuwa na viwanda endelevu iwapo vitaanzishwa na wafanyabiashara wenyewe kwa kuwa viwanda vingi vilivyojengwa na Serikali vimekufa.
Amesema ni rahisi kwa wafanyabiashara kuendesha viwanda na kuhakikisha vinazalisha faida kwa kuwa watakuwa na uchungu navyo vitakapopata hasara.
Akizungumza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini Johnson Minja amesema kwa kuliona hilo na fursa za kibiashara zilizopo kutokana...