MOTO WATEKETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s72-c/MOTO754.jpg)
Baadhi ya Mabaki ya bidhaa zilizoteketea kwa moto katika SOKO la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kwa jina la MT.MERU CURIOS& CRAFTS MARKET usiku wa kuamkia leo.
Bango la Soko hilo.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Sehemu ya Wafanyabiashara wa SOKO la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kwa jina la MT.MERU CURIOS & CRAFTS MARKET wakiwa wameduwaa bila kujua la kufanya mara baada ya Soko hilo kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kuunguza bidhaa zote za wafanya biashara zililopo katika soko...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s72-c/MOTO754.jpg)
MOTO WATETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI LIJULIKANALO KAMA MT.MERU CURIOS & CRAFTS MARKET JIJINI ARUSHA
Mulongo ambaye alifatana na kamati ya Ulinzi na Usalama alishangaa kuona maduka hayo ambayo yapo jirani na Kikosi cha Zima Moto kushindwa kuzima moto na kusababisha hasara kwa wananchi.
"Sitakubali kuona uzembe unaendelea katika mkoa wetu,lazima watu wawajibishwe kwa uzembe hasa Kikosi cha kuzima moto...
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Moto mkubwa wateketeza soko la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kama Mt.Meru Curios & Crafts Market
SOKO la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kwa jina la MT.MERU CURIOS& CRAFTS MARKET limetea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kuunguza bidhaa zote za wafanyabiashara zililopo katika soko hilo
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo ameagiza uchunguzi wa kina kufanyika kufuatia soko la wafanyabiashara wa Vinyago na bidhaa mbalimbali za kitalii la Maasai Market kuteketea kwa moto.
Mulongo ambaye alifuatana na kamati ya Ulinzi na Usalama alishangaa kuona maduka hayo ambayo yapo jirani na Kikosi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s72-c/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s1600/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Moto wateketeza soko Mchikichini
NA WILLIAM SHECHAMBO
TAKRIBAN wafanyabiashara 10,000 wa soko la mitumba la Mchikichini lililoko Ilala, Dar es Salaam, wamepata hasara baada ya mali zao kuteketea kwa moto uliounguza soko hilo usiku wa kuamkia jana.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, moto huo ulizuka majira ya saa 4.00 usiku, kwenye vibanda vilivyoko eneo la katikati ya soko hilo.
Walisema muda mfupi baadae, moto huo ulishika kwenye vibanda vingine na kuanza kusambaa kwa kasi kutokana na uwepo wa bidhaa za nguo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUlE7uRGJUGLVS2bwdsD8scP4dC0IllQbLYJ3aYH*jfUi0UHR7juOeLs5h-i4D-LyS2vzqb8h9l5YMMuXSq-NJlw/MOTO1.jpg?width=750)
MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI, KIJITONYAMA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DDhPcLf5Eds/VLBDRjeGdQI/AAAAAAAG8W8/Mr-I83bzaXE/s72-c/DSCF9205.jpg)
MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI,KIJITONYAMA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DDhPcLf5Eds/VLBDRjeGdQI/AAAAAAAG8W8/Mr-I83bzaXE/s1600/DSCF9205.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Kc2m0kEa6Z8/VLBDQz8tAgI/AAAAAAAG8W0/bWaf4skpl4g/s1600/DSCF9175.jpg)
Sehemu ya Maduka yaliyokuwa yamezunguka nje...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68zTPuDjjnF-fkxfJ3fqQ07amnif4-jTi0Q*mGqGjv4Nvi30kUjrmH5bTeOU2lQ-JS*KiK7VBp1qF6SuthWkOo8Z/motokibangugpl5.jpg?width=650)
MOTO WATEKETEZA VIWANDA, MADUKA ENEO LA KIBANGU JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/BVS-nIfVpmM/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
MFUMUKO WA BEI: Bidhaa mbalimbali zatikisa soko kuu jijini Mwanza!