Moto mkubwa wateketeza soko la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kama Mt.Meru Curios & Crafts Market
SOKO la bidhaa za utamaduni lijulikanalo kwa jina la MT.MERU CURIOS& CRAFTS MARKET limetea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kuunguza bidhaa zote za wafanyabiashara zililopo katika soko hilo
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo ameagiza uchunguzi wa kina kufanyika kufuatia soko la wafanyabiashara wa Vinyago na bidhaa mbalimbali za kitalii la Maasai Market kuteketea kwa moto.
Mulongo ambaye alifuatana na kamati ya Ulinzi na Usalama alishangaa kuona maduka hayo ambayo yapo jirani na Kikosi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s72-c/MOTO754.jpg)
MOTO WATETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI LIJULIKANALO KAMA MT.MERU CURIOS & CRAFTS MARKET JIJINI ARUSHA
Mulongo ambaye alifatana na kamati ya Ulinzi na Usalama alishangaa kuona maduka hayo ambayo yapo jirani na Kikosi cha Zima Moto kushindwa kuzima moto na kusababisha hasara kwa wananchi.
"Sitakubali kuona uzembe unaendelea katika mkoa wetu,lazima watu wawajibishwe kwa uzembe hasa Kikosi cha kuzima moto...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s72-c/MOTO754.jpg)
MOTO WATEKETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s640/MOTO754.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dip9yWahtyg/VGtYFk8Rs2I/AAAAAAAANss/mRpHtdn0Pkg/s640/MOTO43.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xc93peXk1Us/VGtYHJS-laI/AAAAAAAANs0/sQKlV0o4iiQ/s640/MOTO432.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-44eNqzWsJpI/VGtYaLJqRzI/AAAAAAAANts/Ttlccv-g-D0/s640/MOTO%2B56.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_dxAJiZ42Ok/VGtYeWNnlLI/AAAAAAAANt0/PpSEgLzzz_A/s640/MOTO%2B57.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ycQOuvsWixk/VGtYjE7erEI/AAAAAAAANuA/Im03XYnqoMA/s640/MOTO%2B89.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Moto wateketeza soko Mchikichini
NA WILLIAM SHECHAMBO
TAKRIBAN wafanyabiashara 10,000 wa soko la mitumba la Mchikichini lililoko Ilala, Dar es Salaam, wamepata hasara baada ya mali zao kuteketea kwa moto uliounguza soko hilo usiku wa kuamkia jana.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, moto huo ulizuka majira ya saa 4.00 usiku, kwenye vibanda vilivyoko eneo la katikati ya soko hilo.
Walisema muda mfupi baadae, moto huo ulishika kwenye vibanda vingine na kuanza kusambaa kwa kasi kutokana na uwepo wa bidhaa za nguo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mJa1vwr-s74/Vf7mkpXcLPI/AAAAAAAH6XY/X3S-RJ9STgs/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Moto mkubwa wazuka mlima meru mkoani arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-mJa1vwr-s74/Vf7mkpXcLPI/AAAAAAAH6XY/X3S-RJ9STgs/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s72-c/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s1600/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
9 years ago
Habarileo12 Sep
TFDA Dodoma wateketeza bidhaa za mil 38/-
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imeteketeza bidhaa mbalimbali zikiwemo dawa za binadamu na za mifugo, vipodozi vyenye viambata vya sumu na vyakula, vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 38.8.
11 years ago
MichuziSHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS LAENDELEA VYEMA SIKU YA LEO
5 years ago
Bandera County Courier09 Mar
Eye Health Ingredients Market Industry Size, Demand & Top Market Players 2027
10 years ago
Habarileo08 Feb
Moto wateketeza familia Dar
WATU sita wa familia moja akiwamo Kapteni mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), wamekufa papo hapo baada ya kuteketezwa kwa moto jijini Dar es Salaam.