Moto wateketeza familia Dar
WATU sita wa familia moja akiwamo Kapteni mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), wamekufa papo hapo baada ya kuteketezwa kwa moto jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Jul
Moto wateketeza nyumba, maduka Dar
NYUMBA moja imeteketea kwa moto na nyingine vyumba viwili wakati moto huo ulipozuka ghafla kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam jana. Katika tukio la kwanza, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema moto uliteketeza nyumba moja yenye vyumba 12 eneo la Mwananyamala A juzi saa 5.30 asubuhi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MOTO WATEKETEZA MADUKA MANZESE DARAJANI DAR!
Moshi ukiwa umetanda Manzese Darajani wakati moto ukiendelea kuwaka na kuteketeza baadhi ya Maduka ya Manzese Darajani jijini Dar. Watu waliojitokeza kushuhudia tukio la moto Manzese wakiwa wamepanda darajaji.…
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Moto wateketeza bweni la wanafunzi wa kike Dar
Jengo  la ‘Block B’  la Hostel za Mabibo,  za wanafunzi wa kike wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), jijini hapa limeungua kwa moto na kuteketeza vifaa na mali kadhaa  za wanafunzi waliokuwa wakiishi kwenye jengo hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUlE7uRGJUGLVS2bwdsD8scP4dC0IllQbLYJ3aYH*jfUi0UHR7juOeLs5h-i4D-LyS2vzqb8h9l5YMMuXSq-NJlw/MOTO1.jpg?width=750)
MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI, KIJITONYAMA JIJINI DAR
Askari wa Kikosi cha zima moto wakiendelea na zoezi la uzimaji moto katika ghala la kuhifadhi rangi za kampuni ya Colar Paint lililopo katika Mtaa wa Kenya, Kijitonyama usiku wa kuamkia leo. Chanzo cha moto huo hakijafahamika mpaka sasa na eneo kubwa la ghala hilo limeteketea kabisa kwa moto huo hakuna mtu yeyote alieripotiwa kupoteza maisha au kujeruhiwa katika moto huo.…
...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68zTPuDjjnF-fkxfJ3fqQ07amnif4-jTi0Q*mGqGjv4Nvi30kUjrmH5bTeOU2lQ-JS*KiK7VBp1qF6SuthWkOo8Z/motokibangugpl5.jpg?width=650)
MOTO WATEKETEZA VIWANDA, MADUKA ENEO LA KIBANGU JIJINI DAR
Moto ukiteketeza maduka yaliyokuwa jirani na viwanda vilivyoteketea Kibangu. Vibanda vikiteketea kwa moto eneo hilo.…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DDhPcLf5Eds/VLBDRjeGdQI/AAAAAAAG8W8/Mr-I83bzaXE/s72-c/DSCF9205.jpg)
MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI,KIJITONYAMA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DDhPcLf5Eds/VLBDRjeGdQI/AAAAAAAG8W8/Mr-I83bzaXE/s1600/DSCF9205.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Kc2m0kEa6Z8/VLBDQz8tAgI/AAAAAAAG8W0/bWaf4skpl4g/s1600/DSCF9175.jpg)
Sehemu ya Maduka yaliyokuwa yamezunguka nje...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/BVS-nIfVpmM/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s72-c/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s1600/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Familia yateketea kwa moto Dar
Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania