Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s72-c/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto usiku huu.
Taarifa zilizotufikia katika meza ya usiku zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo. Tunafuatilia kujua kama kuna watu walioathirika na moto huo pamoja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/BVS-nIfVpmM/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC0ha*GSKqGN6woStskyX3rH-wYnDzu5JvJw7CfUjUecXWuePC9cCZHsxbDjukBAuEgwu7UuRIL7iW5DvVNfotGG/1.jpg?width=650)
SOKO LA KARUME LATEKETEA KWA MOTO TANGU JANA USIKU
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s72-c/MOTO754.jpg)
MOTO WATEKETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s640/MOTO754.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dip9yWahtyg/VGtYFk8Rs2I/AAAAAAAANss/mRpHtdn0Pkg/s640/MOTO43.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xc93peXk1Us/VGtYHJS-laI/AAAAAAAANs0/sQKlV0o4iiQ/s640/MOTO432.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-44eNqzWsJpI/VGtYaLJqRzI/AAAAAAAANts/Ttlccv-g-D0/s640/MOTO%2B56.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_dxAJiZ42Ok/VGtYeWNnlLI/AAAAAAAANt0/PpSEgLzzz_A/s640/MOTO%2B57.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ycQOuvsWixk/VGtYjE7erEI/AAAAAAAANuA/Im03XYnqoMA/s640/MOTO%2B89.jpg)
11 years ago
CloudsFM12 Jun
MOTO ULIVYOTEKETEZA SOKO LA KARUME MCHIKICHINI,DAR
Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto usiku WA JANA.
Taarifa zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68zTPuDjjnF-fkxfJ3fqQ07amnif4-jTi0Q*mGqGjv4Nvi30kUjrmH5bTeOU2lQ-JS*KiK7VBp1qF6SuthWkOo8Z/motokibangugpl5.jpg?width=650)
MOTO WATEKETEZA VIWANDA, MADUKA ENEO LA KIBANGU JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUlE7uRGJUGLVS2bwdsD8scP4dC0IllQbLYJ3aYH*jfUi0UHR7juOeLs5h-i4D-LyS2vzqb8h9l5YMMuXSq-NJlw/MOTO1.jpg?width=750)
MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI, KIJITONYAMA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DDhPcLf5Eds/VLBDRjeGdQI/AAAAAAAG8W8/Mr-I83bzaXE/s72-c/DSCF9205.jpg)
MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI,KIJITONYAMA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DDhPcLf5Eds/VLBDRjeGdQI/AAAAAAAG8W8/Mr-I83bzaXE/s1600/DSCF9205.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Kc2m0kEa6Z8/VLBDQz8tAgI/AAAAAAAG8W0/bWaf4skpl4g/s1600/DSCF9175.jpg)
Sehemu ya Maduka yaliyokuwa yamezunguka nje...
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Moto wateketeza soko Mchikichini
NA WILLIAM SHECHAMBO
TAKRIBAN wafanyabiashara 10,000 wa soko la mitumba la Mchikichini lililoko Ilala, Dar es Salaam, wamepata hasara baada ya mali zao kuteketea kwa moto uliounguza soko hilo usiku wa kuamkia jana.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, moto huo ulizuka majira ya saa 4.00 usiku, kwenye vibanda vilivyoko eneo la katikati ya soko hilo.
Walisema muda mfupi baadae, moto huo ulishika kwenye vibanda vingine na kuanza kusambaa kwa kasi kutokana na uwepo wa bidhaa za nguo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NgeF1AcFBCg/VG8DvDzjMmI/AAAAAAABFqU/9q4IAHcTHG0/s72-c/IMG_2000.jpg)
FM ACADEMIA 'WAZEE WA NGWASUMA' YAMOTO BAND NA BARBANAS KUWASHA MOTO USIKU WA ONYESHO LA 'USIKU MWEUPE' JIJINI DAR
Na Mwandishi Wetu. FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Yamoto Band na Barbanas, kesho watakuwa na onesho maalum liitwalo 'Usiku Mweupe' litakalofanyika kwenye ukumbi wa Escape One, uliopo mikocheni Dar es Salaam.Mratibu wa onesho hilo Wiliam Malecela, alisema kuwa kila kitu kipo vizuri ambapo onesho hilo litaanza saa 3, usiku.Alisema kuwa dhumuni la kufanya onesho la pamoja kwa bendi hizo na msanii huyo anayefanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya ni kutaka kuuinua muziki wa dansi ambao...