Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOKO LA KARUME LATEKETEA KWA MOTO TANGU JANA USIKU

Mali za wafanyabiashara zikiteketea. Waokoaji wakijitahidi kuzima moto. Kibaka akila kisago baada ya kujaribu kuiba wakati wengine wakililia…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Soko la Karume lateketea kwa moto

>Soko la Karume (soko la mchikichini) limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana. Chanzo cha moto  kinadaiwa ni hitilafu ya umeme iliyoanzia kwenye ghala la kuhifadhia bidhaa.

 

5 years ago

CCM Blog

SOKO TEGETA LATEKETEA KWA MOTO

  Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vibanda saba katika soko la Tegeta Nyuki Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kinondoni, Musa Taibu amesema moto huo ulianza saa 6 usiku.
“Ni kweli moto umeshika sehemu ya maduka na sio soko lote, vibanda saba vimeteketea. Baada ya kupata taarifa polisi kwa kushurikiana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji walifanikiwa kuuzima,” amesema.
Kamanda Taibu amesema uchunguzi umeanza kubaini chanzo na hasara iliyosababishwa na moto...

 

11 years ago

Michuzi

Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu

Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam  ambalo linateketea na moto usiku huu.  Taarifa zilizotufikia katika meza ya usiku zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika  kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo  hilo. Tunafuatilia kujua kama kuna watu walioathirika na moto huo pamoja...

 

10 years ago

GPL

SOKO LA WAKULIMA KAHAMA LATEKETEA KWA MOTO

Soko la Wakulima la Majengo, Kahama lilivyoteketea kwa moto. Wafanyabiashara wa soko hilo wakitoa baadhi ya bidhaa zilizosalia baada ya tukio hilo. Uokoaji wa bidhaa ukiendelea.…

 

10 years ago

Vijimambo

LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO


Sehemu ya Mabaki Lori la mafuta lililoteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo mara baada ya kupiga mweleka likiwa katika hatakati ya kulikwepa gari lingine lililokuwa likitokea Kongowe ambalo liliingia ghafla barabarani bila ya tahadhari,hali iliyolipelekea Lori hilo kukosa mwelekeo na kupiga mweleka.
Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...

 

11 years ago

GPL

MABANDA YA WAMACHINGA SOKO LA KARUME YATEKETEA KWA MOTO

Moto ukiwa unaendelea kuwaka katika soko la Karume 'Mchikichini' ukiendelea kuteketeza mabanda. Hali ilikuwa tete usiku wa kuamkia leo katika mabanda ya Wamachinga eneo la Soko Karume 'Mchikichini', Ilala jijini Dar, baada ya kutokea moto mkuwa na kuteketeza mabanda yote ya wafanyabiashara eneo hilo. Fire walifika katika eneo la tukio na kuondoka baada ya kukubali kushindwa kuzima moto huo hakuna walichoweza kuokoa. Nguzo za...

 

11 years ago

CloudsFM

MOTO ULIVYOTEKETEZA SOKO LA KARUME MCHIKICHINI,DAR

Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto usiku WA JANA. Taarifa zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

CLUB OLYMPIA YA SINZA YAWAKA MOTO JANA USIKU

Haikuweza kufahamika kwa haraka chanzo cha ajali hiyo ya moto.Askari wa Zimamoto wakiendelea na jitihada za kumaliza kabisa moto huo...Gari la zimamoto likiwa eneo la tukio hadi leo asubuhi.Hali ya moshi iliendelea hadi asubuhi ya leo kama picha hizi zinavyoonekana.

 

11 years ago

GPL

GARI LATEKETEA KWA MOTO

Gari likiteketea kwa moto mjini Arusha Gari hilo likiwa karibu na kituo cha mafuta cha Mount Meru. Gari la zima moto lililofika kuuzima moto huo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani