SOKO LA KARUME LATEKETEA KWA MOTO TANGU JANA USIKU

Mali za wafanyabiashara zikiteketea. Waokoaji wakijitahidi kuzima moto. Kibaka akila kisago baada ya kujaribu kuiba wakati wengine wakililia…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Soko la Karume lateketea kwa moto
5 years ago
CCM Blog
SOKO TEGETA LATEKETEA KWA MOTO

Kamanda wa Polisi Kinondoni, Musa Taibu amesema moto huo ulianza saa 6 usiku.
“Ni kweli moto umeshika sehemu ya maduka na sio soko lote, vibanda saba vimeteketea. Baada ya kupata taarifa polisi kwa kushurikiana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji walifanikiwa kuuzima,” amesema.
Kamanda Taibu amesema uchunguzi umeanza kubaini chanzo na hasara iliyosababishwa na moto...
11 years ago
Michuzi
Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu

10 years ago
GPL
SOKO LA WAKULIMA KAHAMA LATEKETEA KWA MOTO
11 years ago
Vijimambo
LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO

Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
11 years ago
GPL
MABANDA YA WAMACHINGA SOKO LA KARUME YATEKETEA KWA MOTO
11 years ago
CloudsFM12 Jun
MOTO ULIVYOTEKETEZA SOKO LA KARUME MCHIKICHINI,DAR
Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto usiku WA JANA.
Taarifa zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.
10 years ago
Vijimambo
CLUB OLYMPIA YA SINZA YAWAKA MOTO JANA USIKU





11 years ago
GPL
GARI LATEKETEA KWA MOTO