MABANDA YA WAMACHINGA SOKO LA KARUME YATEKETEA KWA MOTO
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Moto ukiwa unaendelea kuwaka katika soko la Karume 'Mchikichini' ukiendelea kuteketeza mabanda. Hali ilikuwa tete usiku wa kuamkia leo katika mabanda ya Wamachinga eneo la Soko Karume 'Mchikichini', Ilala jijini Dar, baada ya kutokea moto mkuwa na kuteketeza mabanda yote ya wafanyabiashara eneo hilo. Fire walifika katika eneo la tukio na kuondoka baada ya kukubali kushindwa kuzima moto huo hakuna walichoweza kuokoa. Nguzo za...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Soko la Karume lateketea kwa moto
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC0ha*GSKqGN6woStskyX3rH-wYnDzu5JvJw7CfUjUecXWuePC9cCZHsxbDjukBAuEgwu7UuRIL7iW5DvVNfotGG/1.jpg?width=650)
SOKO LA KARUME LATEKETEA KWA MOTO TANGU JANA USIKU
11 years ago
CloudsFM12 Jun
MOTO ULIVYOTEKETEZA SOKO LA KARUME MCHIKICHINI,DAR
Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto usiku WA JANA.
Taarifa zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s72-c/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s1600/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Familia yateketea kwa moto Dar
9 years ago
Bongo524 Aug
Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto
10 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Familia yateketea kwa moto jijini Dar
10 years ago
Habarileo14 Jan
Magodoro sekondari Ndwika yateketea kwa moto
CHUMBA cha kuhifadhia magodoro pamoja na vifaa vingine katika shule ya sekondari ya bweni ya wasichana ya Ndwika iliyopo kata ya Lulindi halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimeteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa katika shule hiyo.