Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto
Nyumba ya muigizaji wa filamu, Batuli imetekea kwa moto. Nyumba hiyo ipo maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. “Nilikuwa saluni najiandaa ili niende kwenye fainali za TMT ndipo nilipopigiwa simu na majirani majira ya saa tatu usiku kuwa nyumba yangu inaungua na imeteketea yote kwa moto,” Batuli aliiambia Clouds FM. “Iliniuma sana vitu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0A7sE7v*RMs1avDWJW80fTUQEC2jla42Qog6r99CD6Z-onYrKA67ZhLSQqhpbIIFH*ACZMzlrIJMprIaSmLTYOA/Ba2liHouse.gif?width=650)
NYUMBA YA BATULI YATEKETEA MOTO
11 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO JIJINI MBEYA
10 years ago
GPL15 Sep
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KIJITONYAMA, DAR
10 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR
11 years ago
MichuziNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-YAFfqE9PXDQ/U8ULlNRDAPI/AAAAAAAF2UE/cWvvVv0Dir0/s1600/DSC_0128.jpg)
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s72-c/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ENEO LA SOWETO JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s640/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1CX84JFaZLI/VQqj1CuKkDI/AAAAAAAAzn8/7llhOkLhNm4/s640/AvAmViZ9cRQ6QgdtSB6cdVeK5fugidnQIyY45eGKhou_.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BXRWBqsbAlg/VlMcCI1IrBI/AAAAAAAIIBw/qn91bhqfi2o/s72-c/1100313d-b04d-43be-9583-271f834d449e.jpeg)
NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ILALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-BXRWBqsbAlg/VlMcCI1IrBI/AAAAAAAIIBw/qn91bhqfi2o/s640/1100313d-b04d-43be-9583-271f834d449e.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y8XIkoCW5w4/VlMcCK4kmvI/AAAAAAAIIBo/wgZBHlG2O2o/s640/26c8f4e5-4a06-4be8-8222-69335b6e35f5.jpeg)
Shughuli ya uzimaji moto huo ikielekea ukingoni baada ya kikosi cha zima moto kufika eneo la tukio na kuifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0PcoWdcA0QU/VlMcCODcpfI/AAAAAAAIIBs/GBH4NXBT-u8/s640/16b32c2a-ef2b-47e1-a435-5833636ea51f.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pw3GXJuDHXs/UvtmO4eNnOI/AAAAAAAFMig/YWHlaH5RKJg/s72-c/unnamed+(3).jpg)
NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KILWA MASOKO USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-pw3GXJuDHXs/UvtmO4eNnOI/AAAAAAAFMig/YWHlaH5RKJg/s1600/unnamed+(3).jpg)
Familia moja ya Bw Bernad Towele dereva wa Gari la Takukuru Wilayani Kilwa Imenusurika baada ya Nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia katika mji mdogo wa kilwa masoko.
Akithibitisha kutokea kwa tukio la Ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 6 usiku kuamkia leo,Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,Joseph Mfungomara alieleza kuwa chanzo cha Moto huo bado hakijajulikana ila hakuna majeruhi.
Kamanda Mfungomara alimalizia kuwa Vitu...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10