Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 Mar
NYUMBA YA UNGUA MOTO NA KUUA WATOTO 7 WA FAMILIA MOJA BROOKLYN. NY
![](http://ecx.images-amazon.com/images/I/41CeHuhTi3L._SX425_.jpg)
Chombo hiki ndiyo kilichosababisha nyumba kuungua moto na kuua watoto 7 Brooklyn New York watoto wa kike wa 3 na wakiume wa 4 wote ni wa familia moja wakiwa wame lala usiku na chombo hiki kukiacha kikiwa na moto baada ya kusahau kukizima. Chombo hiki utumiwa na Wajewish wakati wa kipindi cha Sabbath yani kama kwarezma kwa wakristo.
![](http://i.ytimg.com/vi/q4FGuLQDV_c/0.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Watu tisa wa familia moja wateketea kwa moto Dar
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Familia yateketea kwa moto Dar
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Familia yateketea kwa moto jijini Dar
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Familia yateketea kwa moto ikiwa imeshikana chumbani
9 years ago
Bongo524 Aug
Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto
10 years ago
GPL15 Sep
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KIJITONYAMA, DAR
10 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR
11 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO JIJINI MBEYA