Familia yateketea kwa moto ikiwa imeshikana chumbani
Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto baada ya nyumba yao kuungua usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam, huku mashuhuda wakisema walikuta miili yao ikiwa imeshikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Familia yateketea kwa moto Dar
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Familia yateketea kwa moto jijini Dar
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...
9 years ago
Bongo524 Aug
Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6IUF4cG87--ykkCXVveRo6GJ2RgCjT99evgZiRKLbJrsKDHlX1BarRFBleIzteY3mQh-Kt-D2lupnIA5bgJNbK/IMG20140723WA0002.jpg?width=650)
10 years ago
GPL15 Sep
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KIJITONYAMA, DAR
11 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO JIJINI MBEYA
10 years ago
Habarileo14 Jan
Magodoro sekondari Ndwika yateketea kwa moto
CHUMBA cha kuhifadhia magodoro pamoja na vifaa vingine katika shule ya sekondari ya bweni ya wasichana ya Ndwika iliyopo kata ya Lulindi halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimeteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa katika shule hiyo.
10 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR