MABWENI YA SHULE YATEKETEA KWA MOTO MONDULI

GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Sep
Mabweni 3 shule ya wasichana yateketea
MABWENI matatu ya Shule ya Sekondari Nyansincha Tarafa ya Ingwe Wilayani Tarime mkoani Mara, yameteketea kwa moto.
11 years ago
Michuzi.jpg)
misaada yamiminika shule ya Irkisongo wilayani monduli iliyounguliwa na mabweni yake
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Arusha(CCM) Namelok...
11 years ago
Michuzi
Bweni la shule ya Sekondari Erikisongo Wilayani Monduli lateketea kwa moto leo

Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ilitokea wakati wanafunzi wote wako darasani.
Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea. Kikosi Cha zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati tayari mabweni hayo yameshateketea.
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
CRDB yatoa mchango wa Mil. 3 kusaidia shule iliyopata janga la moto,wilayani Monduli
.jpg)
10 years ago
Bongo524 Aug
Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto
Nyumba ya muigizaji wa filamu, Batuli imetekea kwa moto. Nyumba hiyo ipo maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. “Nilikuwa saluni najiandaa ili niende kwenye fainali za TMT ndipo nilipopigiwa simu na majirani majira ya saa tatu usiku kuwa nyumba yangu inaungua na imeteketea yote kwa moto,” Batuli aliiambia Clouds FM. “Iliniuma sana vitu […]
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Familia yateketea kwa moto Dar
Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Familia yateketea kwa moto jijini Dar
 “Yesu tuokoe, Yesu tuokoeâ€. Ndiyo sauti ya mwisho iliyosikia toka kwenye nyumba ya vyumba vitatu na sebule iliyoteketea kwa moto na kusababisha watu sita wa familia moja kupoteza maisha, huku miili ya baba na mama wa familia hiyo ikikutwa pamoja imekumbatiana, ikiwa ni ishara ya kufa pamoja.
10 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR
Nyumba iliyoteketea kwa moto. Mashuhuda wa tukio wakitazama nyumba iliyoungua.…
11 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO JIJINI MBEYA
Wakazi wa eneo la Makunguru jijini Mbeya wakiwa wamesimama nje nyumba iliopo kwenye eneo hilo ambayo imepatwa na dhahma ya kuungua moto na kuteketea kwa mali zote zilizokuwemo ndani ya nyumba hiyo, kutokana na kinachosadikiwa kuwa ni hitilafu ya umeme. Bado haijadhibitika mpaka sasa kama kuna mtu yeyote aliedhurika kwenye tukio hilo lililotokea mchana wa jana jijini humo.…
...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania