CRDB yatoa mchango wa Mil. 3 kusaidia shule iliyopata janga la moto,wilayani Monduli
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-8O132co40/U9Jhrl5yIDI/AAAAAAAF6RU/nNAYE26Giiw/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Irkisongo wilayani Monduli Happness Nyange (kushoto) akipokea mchango wa shilingi millioni tatu kutoka kwa Meneja Mwandamizi wa masuala ya kibenki wa CRDB,Dkt. Bennett Bankobeza ikiwa ni kwaajili ya kusaidia shule hiyo hiyo ambayo mabweni yake yaliteketea kwa moto hivi karibuni. Wanaoshuhudia pembeni ni Meneja wa CDRB tawi la TFA Arusha,Bi. Amulikiwa Massawe (wa tatu kulia) na madiwani wa halmashauri ya Monduli.Mwisho kulia ni mkurugenzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7-aiFlmZF48/XoHdlcVAtRI/AAAAAAABL9o/8C1yFrMpE-IleVXrFF7RnCgp6OlehMvxgCLcBGAsYHQ/s72-c/mm.jpg)
NMB YATOA MCHANGO WA SH. MIL 100 KWA SERIKALI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7-aiFlmZF48/XoHdlcVAtRI/AAAAAAABL9o/8C1yFrMpE-IleVXrFF7RnCgp6OlehMvxgCLcBGAsYHQ/s640/mm.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s72-c/20140723_084815_resized.jpg)
Bweni la shule ya Sekondari Erikisongo Wilayani Monduli lateketea kwa moto leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s1600/20140723_084815_resized.jpg)
Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ilitokea wakati wanafunzi wote wako darasani.
Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea. Kikosi Cha zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati tayari mabweni hayo yameshateketea.
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
11 years ago
MichuziMh. Mkapa atembelea shule ya msingi Manyara Ranchi,Wilayani Monduli
Mzee Mkapa ni Makamu mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao yake mjini Washington Marekani.picha mbalimbali zinamuonesha waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais Mkapa kuzuru shule hiyo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ys404UjqV-I/U9GHO6ASJHI/AAAAAAAF550/nORQAW_XBm8/s72-c/unnamed+(14).jpg)
misaada yamiminika shule ya Irkisongo wilayani monduli iliyounguliwa na mabweni yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-ys404UjqV-I/U9GHO6ASJHI/AAAAAAAF550/nORQAW_XBm8/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FCho394lD7Y/U9GHOl6NwLI/AAAAAAAF55g/eHigeqCM66E/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-szQqurT17Nc/U9GHOwxHDuI/AAAAAAAF55k/qWzIB94PPHs/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I9gClq99hqU/U9GHP2VCzpI/AAAAAAAF55s/Vdz4g725_GE/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Arusha(CCM) Namelok...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6IUF4cG87--ykkCXVveRo6GJ2RgCjT99evgZiRKLbJrsKDHlX1BarRFBleIzteY3mQh-Kt-D2lupnIA5bgJNbK/IMG20140723WA0002.jpg?width=650)
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 100 KUSAIDIA WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO MKOANI MOROGORO
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
Tigo yatoa mchango wa madawati 700 kwa shule za umma mkoani Mbeya
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Tigo nchini, Diego Gutierrez, (kushoto) akimkabidhi madawati yaliyotolewa na kampuni hiyo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, Tigo imetoa msaada wa madawati 700 yenye thamani ya 49 milioni kwa shule za msingi za wilaya za Rungwe, Mbozi na Mbeya Mjini.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, (kulia) akimkabidhi madawati Ofisa Elimu Shule za Msingi Jiji la Mbeya, Deusdedit Bimbalirwa, baada ya kukabidhiwa msaada wa madawati 700 yenye thamani ya Sh49milioni...