misaada yamiminika shule ya Irkisongo wilayani monduli iliyounguliwa na mabweni yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-ys404UjqV-I/U9GHO6ASJHI/AAAAAAAF550/nORQAW_XBm8/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Mbunge wa Viti maalum(CCM) mkoa wa Arusha Namelok Sokoine akiangalia bweni la shule hiyo ya Irkisongo wilayani Monduli lililoteketezwa na moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-FCho394lD7Y/U9GHOl6NwLI/AAAAAAAF55g/eHigeqCM66E/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-szQqurT17Nc/U9GHOwxHDuI/AAAAAAAF55k/qWzIB94PPHs/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I9gClq99hqU/U9GHP2VCzpI/AAAAAAAF55s/Vdz4g725_GE/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Arusha(CCM) Namelok...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6IUF4cG87--ykkCXVveRo6GJ2RgCjT99evgZiRKLbJrsKDHlX1BarRFBleIzteY3mQh-Kt-D2lupnIA5bgJNbK/IMG20140723WA0002.jpg?width=650)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
11 years ago
MichuziMh. Mkapa atembelea shule ya msingi Manyara Ranchi,Wilayani Monduli
Rais mstaafu wa awamu wa tatu Mh Benjamin Mkapa leo(jumatatu) amefanya ziara kumtembelea Shule ya msingi ya Manyara Ranchi inayofadhiliwa na shirika la kimataifa la uhifadhi wa wanyamapori la African wildlife foundation wilayani Monduli.
Mzee Mkapa ni Makamu mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao yake mjini Washington Marekani.picha mbalimbali zinamuonesha waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais Mkapa kuzuru shule hiyo.
Rais mstaafu wa awamu wa...
Mzee Mkapa ni Makamu mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao yake mjini Washington Marekani.picha mbalimbali zinamuonesha waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais Mkapa kuzuru shule hiyo.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s72-c/20140723_084815_resized.jpg)
Bweni la shule ya Sekondari Erikisongo Wilayani Monduli lateketea kwa moto leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s1600/20140723_084815_resized.jpg)
Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ilitokea wakati wanafunzi wote wako darasani.
Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea. Kikosi Cha zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati tayari mabweni hayo yameshateketea.
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p-8O132co40/U9Jhrl5yIDI/AAAAAAAF6RU/nNAYE26Giiw/s72-c/unnamed+(26).jpg)
CRDB yatoa mchango wa Mil. 3 kusaidia shule iliyopata janga la moto,wilayani Monduli
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-8O132co40/U9Jhrl5yIDI/AAAAAAAF6RU/nNAYE26Giiw/s1600/unnamed+(26).jpg)
10 years ago
Habarileo17 Sep
Mabweni 3 shule ya wasichana yateketea
MABWENI matatu ya Shule ya Sekondari Nyansincha Tarafa ya Ingwe Wilayani Tarime mkoani Mara, yameteketea kwa moto.
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Ridhiwani aahidi kuongeza shule, mabweni Chalinze
>Mgombea udiwani wa CCM wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete amewa\ahidi wananchi wa Kata ya Ubena kuwatatulia tatizo la watoto wao kutembea umbali mrefu kwa kuongeza idadi ya shule na mabweni mapya kwenye kata hiyo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uSctyKRT4TXDeLpvKNWGp0Gh42MGxtpSbUFII5XqwV0EPIDeg3gS1QXgOWrgviNS6vOE1pn34UXQa14bZdQAqXoeE/ujenzi.jpg?width=650)
UJENZI WA MABWENI SHULE ZA PEMBEZONI KUPUNGUZA MSONGAMANO WA WANAFUNZI MIJINI
Na Aron Msigwa – MAELEZO
21/12/2014, Dar es Salaam
Jamii imetakiwa kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za ujenzi wa mabweni katika shule za Sekondari zilizoko pembezoni mwa miji hasa maeneo ya vijijini ili kukabiliana na tatizo la msongamano wa wanafunzi mijini linalosababishwa na baadhi ya wanafunzi kushindwa kujaza nafasi wanazopangiwa  maeneo ya pembezoni mwa miji kutokana na umbali. Kauli...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s72-c/15.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI BABATI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI KITETO MKOANI MANYARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s1600/15.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania