Bweni la shule ya Sekondari Erikisongo Wilayani Monduli lateketea kwa moto leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s72-c/20140723_084815_resized.jpg)
Kiasi cha wanafunzi 100 wa shule ya sekondari ya Erikisongo wilayani Monduli wamenusurika kifo baada ya vyumba vitano vya mabweni yao kuteketea na moto leo (Jumatano) asubuhi.
Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ilitokea wakati wanafunzi wote wako darasani.
Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea. Kikosi Cha zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati tayari mabweni hayo yameshateketea.
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Moto wateketeza bweni Sekondari ya Erikisongo
WANAFUNZI 100 wa Shule ya Sekondari ya Erikisongo wilayani Monduli mkoani Arusha, wamenusurika kifo baada ya vyumba vitano vya bweni lao kuteketea kwa moto jana asubuhi. Imeelezwa kuwa chanzo cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 Feb
MOTO WATEKETEZA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI IDODI, IRINGA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LfJe8B_U5kY/VX8wI8b9K0I/AAAAAAAARBg/ZxTm9bmAsGU/s72-c/E86A9472%2B%2528800x533%2529.jpg)
TANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA BWENI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NURU YA WILAYANI SIHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LfJe8B_U5kY/VX8wI8b9K0I/AAAAAAAARBg/ZxTm9bmAsGU/s640/E86A9472%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xPwhGTR_1DY/VX8wI4ehQLI/AAAAAAAARBk/l4zxc2sLYLc/s640/E86A9481%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8xDX88h1brY/VX8wQ22yjJI/AAAAAAAARCY/cFxbCuEh41g/s640/E86A9529%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AfcwAL96Vas/VX8wMvQw5PI/AAAAAAAARBw/lEqNbbmf4Cg/s640/E86A9487%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xKK41JRT0sc/VX8wNWQcVyI/AAAAAAAARB4/UQNkdGg0kb8/s640/E86A9489%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xWDIUEDy0Vw/VX8wQp1tDKI/AAAAAAAARCc/h25ux4xfpbw/s640/E86A9518%2B%2528800x533%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p-8O132co40/U9Jhrl5yIDI/AAAAAAAF6RU/nNAYE26Giiw/s72-c/unnamed+(26).jpg)
CRDB yatoa mchango wa Mil. 3 kusaidia shule iliyopata janga la moto,wilayani Monduli
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-8O132co40/U9Jhrl5yIDI/AAAAAAAF6RU/nNAYE26Giiw/s1600/unnamed+(26).jpg)
10 years ago
VijimamboBASI LA DAR EXPRESS LATEKETEA KWA MOTO WILAYANI BAGAMOYO
Kamanda wa polisi mkoa wa Pwani anasema ‘Ni kweli basi la Dar Express leo saa saba mchana limeteketea kwa moto katika kijiji cha Makocho kijiji hiki kiko katikati ya kijiji cha Mandera na Mbwewe ndani ya Wilaya ya Bagamoyo...
10 years ago
Michuzibasi la kampuni ya Dar Express lateketea kwa moto wilayani Bagamoyo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6IUF4cG87--ykkCXVveRo6GJ2RgCjT99evgZiRKLbJrsKDHlX1BarRFBleIzteY3mQh-Kt-D2lupnIA5bgJNbK/IMG20140723WA0002.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzialhaj ali hassan mwinyi na mhe edward lowassa katika sherehe za miaka 20 ya shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai, monduli, leo