Moto wateketeza bweni Sekondari ya Erikisongo
WANAFUNZI 100 wa Shule ya Sekondari ya Erikisongo wilayani Monduli mkoani Arusha, wamenusurika kifo baada ya vyumba vitano vya bweni lao kuteketea kwa moto jana asubuhi. Imeelezwa kuwa chanzo cha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Bweni la shule ya Sekondari Erikisongo Wilayani Monduli lateketea kwa moto leo

Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ilitokea wakati wanafunzi wote wako darasani.
Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea. Kikosi Cha zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati tayari mabweni hayo yameshateketea.
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa...
10 years ago
Vijimambo10 Feb
MOTO WATEKETEZA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI IDODI, IRINGA
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Moto wateketeza bweni la wanafunzi wa kike Dar
Jengo  la ‘Block B’  la Hostel za Mabibo,  za wanafunzi wa kike wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), jijini hapa limeungua kwa moto na kuteketeza vifaa na mali kadhaa  za wanafunzi waliokuwa wakiishi kwenye jengo hilo.
11 years ago
Michuzi
BREAKING NEWZZZZZ: MOTO WATEKETEZA BWENI SHULE YA AFRICAN MUSLIM MJINI MOSHI HIVI SASA


.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Oct
Wanafunzi Njombe wateketeza bweni
Shule ya Sekondari ya Wavulana Njombe (Njoss) iliyoko mjini hapa, imefungwa kuanzia jana hadi Novemba 8, mwaka huu, baada ya wanafunzi kuchoma moto bweni, karakana na kuharibu mali mbalimbali za shule na walimu.
11 years ago
Mwananchi23 Oct
Bweni sekondari Tabora laungua
Bweni moja la Shule ya Sekondari ya Mtakatifu Petro Manispaa ya Tabora, limeungua na kuteketeza mali za wanafunzi ambazo thamani yake haijajulikana.
9 years ago
Habarileo12 Dec
Serikali yaelekeza uendeshaji wa sekondari zake za bweni
SERIKALI inatarajiwa kutoa utaratibu wa namna wanafunzi wa shule za Serikali za mabweni, watakavyosoma huku ikionya wakuu wa shule watakaodai ada au michango ya aina yoyote, kwamba watachukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa kazi.
10 years ago
Michuzi
TANAPA YAJENGA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI KISHUMUNDU.


10 years ago
GPLMOTO WAHARIBU BWENI LA WANAWAKE MABIBO, DAR
Wanafunzi wakiwa nje ya jengo lililoungua wakati wakitafakari pakwenda. Sehemu ya paa la jengo hilo iliyoungua. Baadhi ya vitu vilivyookolewa.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania