Bweni sekondari Tabora laungua
Bweni moja la Shule ya Sekondari ya Mtakatifu Petro Manispaa ya Tabora, limeungua na kuteketeza mali za wanafunzi ambazo thamani yake haijajulikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Bweni laungua, wanafunzi 100 wakosa pa kulala
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Moto wateketeza bweni Sekondari ya Erikisongo
WANAFUNZI 100 wa Shule ya Sekondari ya Erikisongo wilayani Monduli mkoani Arusha, wamenusurika kifo baada ya vyumba vitano vya bweni lao kuteketea kwa moto jana asubuhi. Imeelezwa kuwa chanzo cha...
9 years ago
Habarileo12 Dec
Serikali yaelekeza uendeshaji wa sekondari zake za bweni
SERIKALI inatarajiwa kutoa utaratibu wa namna wanafunzi wa shule za Serikali za mabweni, watakavyosoma huku ikionya wakuu wa shule watakaodai ada au michango ya aina yoyote, kwamba watachukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa kazi.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s72-c/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
TANAPA YAJENGA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI KISHUMUNDU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s640/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXcTO2kK-mE/VXEUq1BIXSI/AAAAAAAAQb4/RYO8Yg0WQ7w/s640/E86A9286%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 Feb
MOTO WATEKETEZA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI IDODI, IRINGA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s72-c/20140723_084815_resized.jpg)
Bweni la shule ya Sekondari Erikisongo Wilayani Monduli lateketea kwa moto leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s1600/20140723_084815_resized.jpg)
Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ilitokea wakati wanafunzi wote wako darasani.
Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea. Kikosi Cha zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati tayari mabweni hayo yameshateketea.
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LfJe8B_U5kY/VX8wI8b9K0I/AAAAAAAARBg/ZxTm9bmAsGU/s72-c/E86A9472%2B%2528800x533%2529.jpg)
TANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA BWENI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NURU YA WILAYANI SIHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LfJe8B_U5kY/VX8wI8b9K0I/AAAAAAAARBg/ZxTm9bmAsGU/s640/E86A9472%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xPwhGTR_1DY/VX8wI4ehQLI/AAAAAAAARBk/l4zxc2sLYLc/s640/E86A9481%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8xDX88h1brY/VX8wQ22yjJI/AAAAAAAARCY/cFxbCuEh41g/s640/E86A9529%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AfcwAL96Vas/VX8wMvQw5PI/AAAAAAAARBw/lEqNbbmf4Cg/s640/E86A9487%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xKK41JRT0sc/VX8wNWQcVyI/AAAAAAAARB4/UQNkdGg0kb8/s640/E86A9489%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xWDIUEDy0Vw/VX8wQp1tDKI/AAAAAAAARCc/h25ux4xfpbw/s640/E86A9518%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMBATIA ACHANGIA MILIONI 20 UJENZI WA BWENI SHULE YA SEKONDARI PAKULA ILIYOPO JIMBO LA VUNJO.
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Jengo la Polisi Moshi laungua tena
CHUO cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) kimeendelea kufikwa na majanga ya moto baada ya zahanati ya chuo hicho kushika moto na kuteketeza chumba cha mapumziko kwa wagonjwa. Moto huo ulizuka...