Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jengo la Polisi Moshi laungua tena

CHUO cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) kimeendelea kufikwa na majanga ya moto baada ya zahanati ya chuo hicho kushika moto na kuteketeza chumba cha mapumziko kwa wagonjwa. Moto huo ulizuka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JENGO LA MACHINGA COMPLEX LAUNGUA KWA MOTO

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa jengo la Machinga Complex la jijini Dar es Salaam limeungua kwa moto. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Tunalifuatilia kwa karibu kuweza kujua chanzo cha moto na madhara yake na itakapofika muda muafaka tutawajulisha habari kamili kwa kina.

 

10 years ago

Michuzi

JK afungua jengo la NSSF la kitega uchumi Moshi

  NSSF Kilimanjaro Commercial Complex mjini Moshi,Mkoani Kilimanjaro  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Kazi na ajira Mh.Gaudensia Kabaka(watano kushoto) Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt.Ramadhani Dau(wapili kulia), Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama(wapili kushoto) pamoja na viongozi na wadau wengine wakikata utepe kufungua rasmi jengo la kitega uchumi la NSSF Kilimanjaro Commercial Complex mjini Moshi,Mkoani Kilimanjaro leo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF...

 

11 years ago

Michuzi

JENGO LA NSSF KUBADILI TASWIRA YA MJI WA MOSHI

 Jengo jipya linalojengwa na Shirika la taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kukamilika kwake kutabadili taswira ya mji wa Moshi kwa kiasi kikubwa.Ni jengo ambalo limejengwa kisasa ambalo kukamilika kwake kutapendezesha mji wa Moshi. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya kaskazini.

 

10 years ago

GPL

JK AFUNGUA JENGO LA NSSF LA KITEGA UCHUMI MOSHI

NSSF Kilimanjaro Commercial Complex mjini Moshi,Mkoani Kilimanjaro . Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Kazi na ajira Mh.Gaudensia Kabaka(watano kushoto) Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt.Ramadhani Dau(wapili kulia), Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama(wapili kushoto) pamoja na viongozi na wadau wengine wakikata utepe kufungua rasmi jengo la kitega uchumi la… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Jiwe la msingi la jengo la NSSF Moshi kuwekwa leo

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Leonidas Gama ataweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo hili la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), lililo mtaa wa Aga Khan mjini Moshi leo, Novemba 23, 2014. Upande wa kushoto wa jengo hilo. Vyumba vyote vya jengo hilo vimeshapangishwa.Jengo linavyoonekana upande wa nyuma na kuufanya mji wa Moshi kuzidi kupendeza

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete afungua jengo la NSSF la kitega uchumi Moshi

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua jengo la upasuaji katika hospitali ya rufaa ya Mawenzi mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro muda mfupi baada ya kulifungua leo.Kulia ni Naibu Waziri wa Afya Dkt.Steven Kebwe. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mawenzi mjini Moshi muda mfupi baada ya kufungua jengo la upasuaji na kuweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa wodi ya mama na watoto katika hospitali hiyo leo.(wanne kulia ni...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete azindua jengo la Kitega Uchumi la NSSF Moshi

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Kazi na ajira Mh.Gaudensia Kabaka(watano kushoto) Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt.Ramadhani Dau(wapili kulia), Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama(wapili kushoto) pamoja na viongozi na wadau wengine wakikata utepe kufungua rasmi jengo la kitega uchumi la NSSF Kilimanjaro Commercial Complex mjini Moshi,Mkoani Kilimanjaro leo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt.Ramadhan Dau pamoja na wadau wengine wakitazama ramani ya jengo...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU INSPEKTA JENERALI WA POLISI AFUNGA MAFUNZO YA WAKAGUZIWASAIDIZI WA JESHI LA POLISI CCP-MOSHI

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi,DIGP, Abdulrahmani Kaniki akikagua gwaride la wakaguzi wasaidizi wa polisi wakati wa sherehe ya kufunga mafunzo ya maofisa hao katika chuo cha polisi Moshi. Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi,DIGP, Abdulrahmani Kaniki akimvisha cheo wp 2704 ssgt Batuli kuwa mkaguzi msaidizi wa jeshila polisi wakati wa sherehe ya kufunga mafunzo ya maofisa hao katika chuo cha polisi Moshi. Wahitimu wa kozi ya mkwaguzi msaidizi wa jeshi la polisi wakipita kutoa heshima kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la jengo la ATCL kupigwa mnada laibuka tena

Kampuni tatu zimewasilisha maombi katika Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara zikitaka jengo la Makao Makuu ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) lenye thamani ya Sh12 bilioni lipigwe mnada kufidia madeni yao yanayofikia zaidi ya Sh2 bilioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani