JENGO LA NSSF KUBADILI TASWIRA YA MJI WA MOSHI
Jengo jipya linalojengwa na Shirika la taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kukamilika kwake kutabadili taswira ya mji wa Moshi kwa kiasi kikubwa.Ni jengo ambalo limejengwa kisasa ambalo kukamilika kwake kutapendezesha mji wa Moshi. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya kaskazini.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJ40vVck05ZR4WWKFokZNm2NeaU3OpcAa70omaLXQ0etXm4ErHj70yL76suS1gX-YXwsdh9d8T*cpcHK7Yb9yYb/unnamed45.jpg?width=650)
JK AFUNGUA JENGO LA NSSF LA KITEGA UCHUMI MOSHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iez95n4qv-I/VNpTrNubMzI/AAAAAAAHC7g/BgkEQ2yLgIE/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
JK afungua jengo la NSSF la kitega uchumi Moshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-iez95n4qv-I/VNpTrNubMzI/AAAAAAAHC7g/BgkEQ2yLgIE/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vyb7iGA2myw/VNpTrDkP9gI/AAAAAAAHC7o/oWcrJW_juzw/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tKOJjZ0XVqQ/VNpTrHSUYFI/AAAAAAAHC7k/rGvO3ZeEayI/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
Jiwe la msingi la jengo la NSSF Moshi kuwekwa leo
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua jengo la NSSF la kitega uchumi Moshi
10 years ago
VijimamboRais Kikwete azindua jengo la Kitega Uchumi la NSSF Moshi
10 years ago
MichuziTASWIRA MBALI MBALI ZA MJI WA MOSHI UKIWA KWENYE MAANDALIZI YA KUWA JIJI
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Wapangaji jengo la Treni Mji Mkongwe watakiwa kuhama jengo hilo
Na Abdulla Ali, Maelezo-Zanzibar
Serikali haitoridhia kuwabakisha Wapangaji na Wafanyabiashara katika jengo la Treni ili kuepusha maafa na kuokoa maisha ya Wananchi na mali zao.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar Mhe. Ramadhan Abdulla Shaaban wakati wa mkutano wa mzungumzo ya pamoja kati ya Wapangaji na Wafanyabiashara wanaolitumia jengo hilo na Serikali uliofanyika katika ofisi ya Mamlaka ya Mji Mkongwe iliopo...
10 years ago
CloudsFM14 Aug
TASWIRA YA MJI WA KAHAMA LEO WAKAZI WA MJI HUO WAJIANDAA NA FIESTA
Taswira ya mji wa Kahama leo hii,wakazi wa mji huo wajiandaa na tamasha la #Serengetifiesta2014 Jumapili hii pande za Kahama Stadium kwa mtonyo wa buku tano tu.#Nisheedah.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DeQVVNCUV0c/VNhTN8sZZ9I/AAAAAAAHChQ/CqtVKajtIj4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B9.25.27%2BAM.png)
JK KUZINDUA JENGO LA KITEGA UCHUMI LA NSSF KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-DeQVVNCUV0c/VNhTN8sZZ9I/AAAAAAAHChQ/CqtVKajtIj4/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B9.25.27%2BAM.png)
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete leo anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Kilimanjaro ambapo miongoni mwa shughuli anazotazamiwa kufanya ni pamoja nakufungua jengo la kitega uchumi la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii(NSSF).
Mbali na ufunguzi huo Rais Kikwete pia anatarajia kufungua jengo la Upasuaji na kuweka jiwe la msingi katika jengo la wodi ya...