Wapangaji jengo la Treni Mji Mkongwe watakiwa kuhama jengo hilo
Na Abdulla Ali, Maelezo-Zanzibar
Serikali haitoridhia kuwabakisha Wapangaji na Wafanyabiashara katika jengo la Treni ili kuepusha maafa na kuokoa maisha ya Wananchi na mali zao.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar Mhe. Ramadhan Abdulla Shaaban wakati wa mkutano wa mzungumzo ya pamoja kati ya Wapangaji na Wafanyabiashara wanaolitumia jengo hilo na Serikali uliofanyika katika ofisi ya Mamlaka ya Mji Mkongwe iliopo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7byAw4AxJdQ*t2dTxtf6RNHYdMaqCGdI6CYsVCxfzGXcgP-czOYH1XmvTQuusL8kkHxgLL5VJPMM8bJigJWPsz-4/IMG20150102WA0003.jpg?width=650)
JENGO LAANGUKA NA KUJERUHI WATU MJI MKONGWE, ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s72-c/shangani%2Bpix.jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA ENEO LA JENGO LILILOANGUKA JANA MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s1600/shangani%2Bpix.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0aPElGNNJXY/VG2RtgWSPeI/AAAAAAABcVA/PxtUqu9_G58/s1600/shangani.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amezitaka Mamlaka zinazosimamia majengo katika enelo la Mji Mkongwe Zanzibar kuwa na utaratibu mzuri wa kuyakagua ili kuhakikisha uimara wake na kuepusha maafa kwa watumiaji na jamii nzima.
Maalim...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-C6tbvi2buUk/VKbpNJlNITI/AAAAAAAG694/FkaranJHreI/s72-c/610.jpg)
WANAOKAA KWENYE NYUMBA MBOVU MJI MKONGWE ZANZIBAR WATAKIWA KUHAMA - BALOZI SEIF IDDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-C6tbvi2buUk/VKbpNJlNITI/AAAAAAAG694/FkaranJHreI/s1600/610.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9zZzsaynvg/VKbpNEzWqaI/AAAAAAAG6-A/v6flhFlj_ig/s1600/612.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jI5J9pi4WAw/VKbpNYWo0mI/AAAAAAAG698/VrLkjy_ute0/s1600/614.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Jengo la CCM Dar lachefua wapangaji
10 years ago
MichuziJENGO LA NSSF KUBADILI TASWIRA YA MJI WA MOSHI
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Balozi Seif Iddi awata kuhama wananchi wanaoishi kwenye nyumba kuu kuu za mji Mkongwe
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiangalia nyumba iliyoporomoka dari na kujeruhi wakazi wake watatu hapo Mtaa wa Ukutani Mjini Zanzibar. Kushoto kwa Balozi Seif ni Mmiliki wa Nyumba Hiyo Bwana Mzee Abdulla Juma.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewaagiza wananchi wanaoishi kwenye nyumba mbovu na zile zilizochakaa ndani ya Mji Mkongwe wa Zanzibar wafanye utaratibu wa kuhama kwenye nyumba hizo mapema iwezekanavyo ili kunusuru maisha...
10 years ago
Dewji Blog20 Jan
Mkalama watakiwa kulikarabati jengo la kihistoria la Wajerumani
Gofu la nyumba iliyokuwa makazi ya kiongozi wa Wajerumani waliokuwa wakilima zao la mpira kuanzia mwaka wa 1905. Imedaiwa Wajerumani hao walikuja nyang’anywa makazi hayo na Waingereza. Makazi hayo endapo yatafanyiwa ukarabati na kutangazwa kikamilifu, yatavutia watalii wa ndani na nje ya nchi na hivyo kuiingizia kipato kikubwa halmashauri ya Mkalama.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
HALMASHAURI ya wilaya ya Mkalama Mkoa wa Singida, imeshauriwa kuzingatia uwezekano wa kulikarabati na kulilinda ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.-2048x1365.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KM 51.2 MJI WA SERIKALI PAMOJA NA KUFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA TARURA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s640/1.-2048x1365.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff kuhusu mradi wa ujenzi wa Barabara za lami zenye jumla ya km 51.2 katika mji wa Serikali (Mtumba) mkoani Dodoma leo tarehe 11 Juni 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-10-scaled.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s72-c/17.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KATIKA MJI WA SERIKALI, AFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA TARURA NA OFISI ZA ZIMAMOTO MAKOLE JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s400/17.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xc3EVu2CGYA/XuJIGBt2I7I/AAAAAAACM_c/1x-hs6N1qo4gRBesWgrbpfIWOXIGY9ByQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q5Ku3cvHD0o/XuJIRwvhcBI/AAAAAAACM_g/kDyLp-KiGiU0Gzwd705Qca6UdKcdHcahwCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)