JENGO LAANGUKA NA KUJERUHI WATU MJI MKONGWE, ZANZIBAR
![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7byAw4AxJdQ*t2dTxtf6RNHYdMaqCGdI6CYsVCxfzGXcgP-czOYH1XmvTQuusL8kkHxgLL5VJPMM8bJigJWPsz-4/IMG20150102WA0003.jpg?width=650)
Kikosi cha Uokoaji kikitoa huduma ya kwanza kwa majeruhi katika eneo la tukio.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s72-c/shangani%2Bpix.jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA ENEO LA JENGO LILILOANGUKA JANA MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s1600/shangani%2Bpix.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0aPElGNNJXY/VG2RtgWSPeI/AAAAAAABcVA/PxtUqu9_G58/s1600/shangani.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amezitaka Mamlaka zinazosimamia majengo katika enelo la Mji Mkongwe Zanzibar kuwa na utaratibu mzuri wa kuyakagua ili kuhakikisha uimara wake na kuepusha maafa kwa watumiaji na jamii nzima.
Maalim...
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Wapangaji jengo la Treni Mji Mkongwe watakiwa kuhama jengo hilo
Na Abdulla Ali, Maelezo-Zanzibar
Serikali haitoridhia kuwabakisha Wapangaji na Wafanyabiashara katika jengo la Treni ili kuepusha maafa na kuokoa maisha ya Wananchi na mali zao.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar Mhe. Ramadhan Abdulla Shaaban wakati wa mkutano wa mzungumzo ya pamoja kati ya Wapangaji na Wafanyabiashara wanaolitumia jengo hilo na Serikali uliofanyika katika ofisi ya Mamlaka ya Mji Mkongwe iliopo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7_nSzbKywc/VZMCKvS9f5I/AAAAAAAHmB8/nC6Gb_cdMqI/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI , UTALII NA MICHEZO ZANZIBAR AZINDUA HOTELI TAUSI Palace, MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7_nSzbKywc/VZMCKvS9f5I/AAAAAAAHmB8/nC6Gb_cdMqI/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U5CLJQSXo7k/VZMCKg8VgvI/AAAAAAAHmCE/s-pY3yj9QQA/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DX6J-2SWxb8/VZMCKl4ZIpI/AAAAAAAHmCA/DMhzE4etUjc/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-8ob7pCOKg3Q/VPnSJj1Md3I/AAAAAAABnUI/33QGDIbarS0/s72-c/IMG-20150306-WA0048.jpg)
Mwandishi wa Habari Zanzibar, Ali Saleh Achukua Fomu leo kugombea Ubunge Mji Mkongwe Zanzibar
![](http://lh4.ggpht.com/-8ob7pCOKg3Q/VPnSJj1Md3I/AAAAAAABnUI/33QGDIbarS0/s640/IMG-20150306-WA0048.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XF1RVb4mZpY/VPn63aZbg6I/AAAAAAABnXc/mb1zalBP6i0/s640/IMG-20150306-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XjsGQW0giaU/VPn631GDyPI/AAAAAAABnXo/Dd7irLdPTAk/s640/IMG-20150306-WA0005.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KPgx2NphJ7E/VPn637RQrgI/AAAAAAABnXg/6TPraAXjWEA/s640/IMG-20150306-WA0006.jpg)
11 years ago
Habarileo04 Jul
Mji Mkongwe Zanzibar hatarini
MJI Mkongwe wa Zanzibar unadaiwa kuwa katika hatari ya kuondolewa kwenye ramani ya Hifadhi ya Urithi wa Kimataifa. Hali hiyo inatokana na hujuma zinazofanywa na watu wasiofahamika kwenye miundombinu yake, ikiwemo nguzo za taa.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-5O7y54n38sw/VYRE4itnq7I/AAAAAAAByVM/ahnw3S8KvZo/s72-c/526.jpg)
CCTV CAMERA ZAFUNGWA MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-5O7y54n38sw/VYRE4itnq7I/AAAAAAAByVM/ahnw3S8KvZo/s640/526.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipata maelezo kutoka kwa Katibu wa Kamati ya Wataalamu ya usimamizi wa Mradi wa CCTV Camera Nd. Jabir Haji Abdulla juu ya mfumo wa utendaji kazi wa mradi wa Camera za kurikodi matukio mbali mbali ndani ya Mji Mkongwe wa Zanzibar.
Kulia ya Balozi Sei ni Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar Bwana Xie Yun Liang.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DDu9_6pwYJg/VYRE43PFFAI/AAAAAAAByVQ/B3sB8iB2lw0/s640/527.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YOwStKEYPW4/VYRE45OeFcI/AAAAAAAByVU/jzMgZfW7Cus/s640/541.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-C6tbvi2buUk/VKbpNJlNITI/AAAAAAAG694/FkaranJHreI/s72-c/610.jpg)
WANAOKAA KWENYE NYUMBA MBOVU MJI MKONGWE ZANZIBAR WATAKIWA KUHAMA - BALOZI SEIF IDDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-C6tbvi2buUk/VKbpNJlNITI/AAAAAAAG694/FkaranJHreI/s1600/610.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9zZzsaynvg/VKbpNEzWqaI/AAAAAAAG6-A/v6flhFlj_ig/s1600/612.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jI5J9pi4WAw/VKbpNYWo0mI/AAAAAAAG698/VrLkjy_ute0/s1600/614.jpg)
11 years ago
MichuziMaalim Seif atembelea eneo la Mji Mkongwe Zanzibar kuangalia mradi wa ujenzi wa hoteli ya kisasa ya Grand Hyatt
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Jengo laanguka, Kumi wafa Misri