Mji Mkongwe Zanzibar hatarini
MJI Mkongwe wa Zanzibar unadaiwa kuwa katika hatari ya kuondolewa kwenye ramani ya Hifadhi ya Urithi wa Kimataifa. Hali hiyo inatokana na hujuma zinazofanywa na watu wasiofahamika kwenye miundombinu yake, ikiwemo nguzo za taa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-8ob7pCOKg3Q/VPnSJj1Md3I/AAAAAAABnUI/33QGDIbarS0/s72-c/IMG-20150306-WA0048.jpg)
Mwandishi wa Habari Zanzibar, Ali Saleh Achukua Fomu leo kugombea Ubunge Mji Mkongwe Zanzibar
![](http://lh4.ggpht.com/-8ob7pCOKg3Q/VPnSJj1Md3I/AAAAAAABnUI/33QGDIbarS0/s640/IMG-20150306-WA0048.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XF1RVb4mZpY/VPn63aZbg6I/AAAAAAABnXc/mb1zalBP6i0/s640/IMG-20150306-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XjsGQW0giaU/VPn631GDyPI/AAAAAAABnXo/Dd7irLdPTAk/s640/IMG-20150306-WA0005.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KPgx2NphJ7E/VPn637RQrgI/AAAAAAABnXg/6TPraAXjWEA/s640/IMG-20150306-WA0006.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7_nSzbKywc/VZMCKvS9f5I/AAAAAAAHmB8/nC6Gb_cdMqI/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI , UTALII NA MICHEZO ZANZIBAR AZINDUA HOTELI TAUSI Palace, MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7_nSzbKywc/VZMCKvS9f5I/AAAAAAAHmB8/nC6Gb_cdMqI/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U5CLJQSXo7k/VZMCKg8VgvI/AAAAAAAHmCE/s-pY3yj9QQA/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DX6J-2SWxb8/VZMCKl4ZIpI/AAAAAAAHmCA/DMhzE4etUjc/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-5O7y54n38sw/VYRE4itnq7I/AAAAAAAByVM/ahnw3S8KvZo/s72-c/526.jpg)
CCTV CAMERA ZAFUNGWA MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-5O7y54n38sw/VYRE4itnq7I/AAAAAAAByVM/ahnw3S8KvZo/s640/526.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipata maelezo kutoka kwa Katibu wa Kamati ya Wataalamu ya usimamizi wa Mradi wa CCTV Camera Nd. Jabir Haji Abdulla juu ya mfumo wa utendaji kazi wa mradi wa Camera za kurikodi matukio mbali mbali ndani ya Mji Mkongwe wa Zanzibar.
Kulia ya Balozi Sei ni Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar Bwana Xie Yun Liang.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DDu9_6pwYJg/VYRE43PFFAI/AAAAAAAByVQ/B3sB8iB2lw0/s640/527.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YOwStKEYPW4/VYRE45OeFcI/AAAAAAAByVU/jzMgZfW7Cus/s640/541.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7byAw4AxJdQ*t2dTxtf6RNHYdMaqCGdI6CYsVCxfzGXcgP-czOYH1XmvTQuusL8kkHxgLL5VJPMM8bJigJWPsz-4/IMG20150102WA0003.jpg?width=650)
JENGO LAANGUKA NA KUJERUHI WATU MJI MKONGWE, ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s72-c/shangani%2Bpix.jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA ENEO LA JENGO LILILOANGUKA JANA MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s1600/shangani%2Bpix.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0aPElGNNJXY/VG2RtgWSPeI/AAAAAAABcVA/PxtUqu9_G58/s1600/shangani.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amezitaka Mamlaka zinazosimamia majengo katika enelo la Mji Mkongwe Zanzibar kuwa na utaratibu mzuri wa kuyakagua ili kuhakikisha uimara wake na kuepusha maafa kwa watumiaji na jamii nzima.
Maalim...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-C6tbvi2buUk/VKbpNJlNITI/AAAAAAAG694/FkaranJHreI/s72-c/610.jpg)
WANAOKAA KWENYE NYUMBA MBOVU MJI MKONGWE ZANZIBAR WATAKIWA KUHAMA - BALOZI SEIF IDDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-C6tbvi2buUk/VKbpNJlNITI/AAAAAAAG694/FkaranJHreI/s1600/610.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9zZzsaynvg/VKbpNEzWqaI/AAAAAAAG6-A/v6flhFlj_ig/s1600/612.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jI5J9pi4WAw/VKbpNYWo0mI/AAAAAAAG698/VrLkjy_ute0/s1600/614.jpg)
11 years ago
MichuziMaalim Seif atembelea eneo la Mji Mkongwe Zanzibar kuangalia mradi wa ujenzi wa hoteli ya kisasa ya Grand Hyatt
10 years ago
Habarileo10 Jul
70 % ya majengo Mji Mkongwe hoi
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema asilimia 70 ya majengo ya nyumba zilizopo Mji Mkongwe yamechakaa na mengine kuhatarisha usalama wa wananchi, ikiwemo wapita njia.
9 years ago
Habarileo27 Oct
Polisi wazima vurugu za CUF Mji Mkongwe
WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.