Mwandishi wa Habari Zanzibar, Ali Saleh Achukua Fomu leo kugombea Ubunge Mji Mkongwe Zanzibar
![](http://lh4.ggpht.com/-8ob7pCOKg3Q/VPnSJj1Md3I/AAAAAAABnUI/33QGDIbarS0/s72-c/IMG-20150306-WA0048.jpg)
Mwandishi mkongwe wa habari Zanzibar, Ali Saleh (Alberto) akiwa na wapambe wake waliomshindikiza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mji Mkongwe katika uchaguzi wa mwaka huu 2015
Mwandishi mkongwe wa habari, Ally Saleh akionesha Fomu yake aliyokabidhiwa leo kwenye Ofisi ya Jimbo Mkunazini
Akionesha kadi yake ya uanachama wa CUF
Hapa akiondoka Afisi za Jimbo baada ya kuchukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Mkunazini katika Uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu kama atapitishwa na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f3-uPrOt2ho/Xuzd25FypcI/AAAAAAAEXmg/9nNroCr7Rx85sThyjxbmtfSXr0etcYyfACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200619_145210.jpg)
KADA WA 13 WA CCM, DK. ABDULHALIM MOHAMMED ALI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-f3-uPrOt2ho/Xuzd25FypcI/AAAAAAAEXmg/9nNroCr7Rx85sThyjxbmtfSXr0etcYyfACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200619_145210.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QPD_IEY9Zkc/XuzfF37iQkI/AAAAAAAEXnI/RcEArucm0_o9W50x7uy16PUttCijD9VMACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200619_141918.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7_nSzbKywc/VZMCKvS9f5I/AAAAAAAHmB8/nC6Gb_cdMqI/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI , UTALII NA MICHEZO ZANZIBAR AZINDUA HOTELI TAUSI Palace, MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7_nSzbKywc/VZMCKvS9f5I/AAAAAAAHmB8/nC6Gb_cdMqI/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U5CLJQSXo7k/VZMCKg8VgvI/AAAAAAAHmCE/s-pY3yj9QQA/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DX6J-2SWxb8/VZMCKl4ZIpI/AAAAAAAHmCA/DMhzE4etUjc/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
9 years ago
MichuziDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...
10 years ago
Michuzi18 Jul
Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3EXlot6MIpk/Xu9I68qFTcI/AAAAAAABDS0/7EgPcZnGYn0nA9aek8qB0gmOYr1FVsoVQCNcBGAsYHQ/s72-c/2%2B2.jpg)
WAZIRI WA ZAMANI WA FEDHA ZANZIBAR, ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-3EXlot6MIpk/Xu9I68qFTcI/AAAAAAABDS0/7EgPcZnGYn0nA9aek8qB0gmOYr1FVsoVQCNcBGAsYHQ/s400/2%2B2.jpg)
Aliyekuwa Waziri wa Fedha na mipango Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohammed amekuwa mgombea wa 15 kujitokeza kuchukua Fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM.
5 years ago
MichuziMASAUNI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6y-nUtrXjZU/VbYnRurWW2I/AAAAAAAB3OM/6irpn0n8ztI/s72-c/hamad.jpg)
Mhe Hamad Rashid Zanzibar achukua Fomu ya Kugombea Urais kwa tiketi ya Chama cha ADC.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6y-nUtrXjZU/VbYnRurWW2I/AAAAAAAB3OM/6irpn0n8ztI/s640/hamad.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UwbLz8mTeYM/VbYnVc5xQ8I/AAAAAAAB3OU/NIk452ktgik/s640/hamad%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nn738jMvrVg/XueGh8mogQI/AAAAAAALt6o/5j3Z3TAXlmw1Ntbxb2ljRMNSQs0SZ3QbQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B5.31.11%2BPM.jpeg)
BALOZI ALI KARUME ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ATAJA ATAKAYOANZA AKIPATA RIDHAA YA WANANCHI
BALOZI Ali Karume ambaye ni mtoto wa muasisi wa nchi ya Zanzibar Sheikh Abeid Aman Karume amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar huku akieleza kuwa baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25,2020 anatarajia kuwa Rais wa Nane.
Amesema iwapo atapata ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) na wananchi wakampa ridhaa kwa kumchagua kuwa Rais atahakikisha anaendeleza yale yote mazuri ambayo yamefanywa na...
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Ali Salehe ajitosa ubunge Mji Mkongwe
Na Is-haka Omar, Zanzibar
MWANDISHI wa habari mkongwe, Ali Saleh Ali, ni miongoni mwa wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) waliochukua fomu za kuwania nafasi ya ubunge wa Mji Mkongwe visiwani Zanzibar. Kaimu Katibu wa jimbo hilo wa CUF, Nassor Amin Said, alisema mwandishi huyo anafanya idadi ya wanachama wane waliojitokeza hadi sasa kuchukua fomu za ubunge ambapo wawili ndio waliorejesha. Aliwataja wanachama wengine ni waliochukua fomu kuwa ni Mohamed Noor Mohamed, Badru Adam Ali na mbunge...