Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ali Salehe ajitosa ubunge Mji Mkongwe

ally-saleh1Na Is-haka Omar, Zanzibar

MWANDISHI wa habari mkongwe, Ali Saleh Ali, ni miongoni mwa wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) waliochukua fomu za kuwania nafasi ya ubunge wa Mji Mkongwe visiwani Zanzibar. Kaimu Katibu wa jimbo hilo wa CUF, Nassor Amin Said, alisema mwandishi huyo anafanya idadi ya wanachama wane waliojitokeza hadi sasa kuchukua fomu za ubunge ambapo wawili ndio waliorejesha. Aliwataja wanachama wengine ni waliochukua fomu kuwa ni Mohamed Noor Mohamed, Badru Adam Ali na mbunge...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mwandishi wa Habari Zanzibar, Ali Saleh Achukua Fomu leo kugombea Ubunge Mji Mkongwe Zanzibar

Mwandishi mkongwe wa habari Zanzibar, Ali Saleh (Alberto) akiwa na wapambe wake waliomshindikiza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mji Mkongwe katika uchaguzi wa mwaka huu 2015 Mwandishi mkongwe wa habari, Ally Saleh akionesha Fomu yake aliyokabidhiwa leo kwenye Ofisi ya Jimbo MkunaziniAkionesha kadi yake ya uanachama wa CUFHapa akiondoka Afisi za Jimbo baada ya kuchukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Mkunazini katika Uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu kama atapitishwa na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Magari zaidi ya tani mbili yazuiwe Mji Mkongwe — Balozi Ali Seif Idd

226

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akijumuika pamoja na baadhi ya wananchi kuangalia athari iliyojichomoza kwenye nyumba ya Bwana Salim Ahmed Salim baada ya ukuta na dari yake kuanguka  saa sita usiku juzi mkabala na Skuli ya Sekondari ya Tumekuja Mtaa wa Vuga Mjini Zanzibar.

227

Sehemu ya mbele ya Nyumba ya Bwana Salim Ahmed Salim iliyoporomoka  Mtaa wa Vuga mkabala na Skuli ya Sekondari ya Tumekuja.Hata hivyo hakuna mtu aliyejeruhiwa kutokana na athari hiyo.

228

 Athari ya...

 

11 years ago

Habarileo

Mji Mkongwe Zanzibar hatarini

MJI Mkongwe wa Zanzibar unadaiwa kuwa katika hatari ya kuondolewa kwenye ramani ya Hifadhi ya Urithi wa Kimataifa. Hali hiyo inatokana na hujuma zinazofanywa na watu wasiofahamika kwenye miundombinu yake, ikiwemo nguzo za taa.

 

10 years ago

Habarileo

70 % ya majengo Mji Mkongwe hoi

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema asilimia 70 ya majengo ya nyumba zilizopo Mji Mkongwe yamechakaa na mengine kuhatarisha usalama wa wananchi, ikiwemo wapita njia.

 

9 years ago

Michuzi

Mwanahabari Mkongwe Dkt. Gideon Shoo ajitosa katika kilimo hai cha kisasa huko Bagamoyo

 Dkt Gideon Shoo (mwenye gwanda la buluu) mwanahabari mwandamizi na mkongwe akielezea  alivyoamua kuingia katika kilimo hai cha kisasa alipotembelewa shambani na nyumbani kwake kata ya Kerege wilaya ya   Bagamoyo mkoa wa Pwani na maofisa kutoka Envirocare , asasi isiyokuwa ya kiserikali inayojihusisha na mazingira na  haki za binadamu.  Dkt Gideon Shoo akionesha anavyozalisha mbolea ya samadi Dkt Gideon Shoo akitembeza wageni kwenye shamba lake sehemu ya mbogamboga.
Ni jambo la kawaida kwa...

 

11 years ago

Habarileo

‘Doria kuwa endelevu maeneo Mji Mkongwe’

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema doria katika maeneo ya Mji Mkongwe na sehemu nyingine itakuwa endelevu kwa ajili ya kukabiliana na matukio ya uhalifu, ikiwemo tindikali kwa wageni.

 

9 years ago

Habarileo

Polisi wazima vurugu za CUF Mji Mkongwe

WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.

 

10 years ago

Vijimambo

CCTV CAMERA ZAFUNGWA MJI MKONGWE ZANZIBAR


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipata maelezo kutoka kwa Katibu wa Kamati ya Wataalamu ya usimamizi wa Mradi wa CCTV Camera Nd. Jabir Haji Abdulla juu ya mfumo wa utendaji kazi wa mradi wa Camera za kurikodi matukio mbali mbali ndani ya Mji Mkongwe wa Zanzibar.

Kulia ya Balozi Sei ni Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar Bwana Xie Yun Liang.
Katibu wa Kamati ya Wataalamu ya usimamizi wa Mradi wa CCTV Camera Nd. Jabir Haji Abdulla akionyesha picha...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waomba CCTV Mji Mkongwe kukabili uhalifu

JESHI la Polisi Zanzibar limeitaka Serikali pamoja na taasisi binafsi sekta ya utalii kuangalia uwezekano wa kupatikana kwa huduma za kamera (CCTV) za kuchunguza matukio ya uhalifu katika maeneo ya Mji Mkongwe ili kupambana na vitendo hivyo ambavyo vinalipaka matope jina zuri la Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani