RAIS DK. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KATIKA MJI WA SERIKALI, AFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA TARURA NA OFISI ZA ZIMAMOTO MAKOLE JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s72-c/17.jpg)
Rais Dk. John Magufuli akiendesha moja ya pikipiki ambazo alizikabidhi kwa Maafisa Tarafa wa nchi nzima katika hafla ya ufunguzi wa Jengo la Ofisi za Makao Makuu ya TARURA mjini Dodoma
Rais Dk. John Magufuli akipiga akizindua jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Barabara za lami zenye jumla ya km 51.2 katika mji wa Serikali (Mtumba) mkoani Dodoma leo
Rais Dkt. John Magufuli akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mitambo itakayotumika katika katika ujenzi wa Barabara za lami yenye jumla ya km 51.2...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.-2048x1365.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KM 51.2 MJI WA SERIKALI PAMOJA NA KUFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA TARURA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s640/1.-2048x1365.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff kuhusu mradi wa ujenzi wa Barabara za lami zenye jumla ya km 51.2 katika mji wa Serikali (Mtumba) mkoani Dodoma leo tarehe 11 Juni 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-10-scaled.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1H7W3m7DN-U/XuJknVjsf3I/AAAAAAACNA8/pl69wKn7YU4YY6EuhmXeNOic-UQup7W3ACLcBGAsYHQ/s72-c/magu.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AZINDUA MAJENGO YA TARURA NA ZIMAMOTO, AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA NA KUKABIDHI PIKIPIKI JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-1H7W3m7DN-U/XuJknVjsf3I/AAAAAAACNA8/pl69wKn7YU4YY6EuhmXeNOic-UQup7W3ACLcBGAsYHQ/s400/magu.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 11 Juni, 2020 amezindua majengo ya Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara za Mji wa Serikali Makao Makuu Dodoma na kukabidhi pikipiki 448 za Maafisa Tarafa hapa nchini.
Sherehe za uzinduzi wa jengo la TARURA, uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa kilometa 51.2 za barabara za lami katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zFvE-YG4FP0/XuJJBE66hsI/AAAAAAALtdA/DfvmoebL-CMejg00DuXLaX3M_X8BJxFrgCLcBGAsYHQ/s72-c/5e44cba9-e2eb-4745-aae5-9c3218092f3e-1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA OFISI ZA ZIMAMOTO MAKOLE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zFvE-YG4FP0/XuJJBE66hsI/AAAAAAALtdA/DfvmoebL-CMejg00DuXLaX3M_X8BJxFrgCLcBGAsYHQ/s640/5e44cba9-e2eb-4745-aae5-9c3218092f3e-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a1b1b346-a7ed-437f-8668-c05d9f74c4e4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0e188d95-af10-4965-8ec6-ab7eb2618e1b.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-SfNStyFkufg/VZZrJGvuEbI/AAAAAAADvWA/H93f4WvDfZk/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA JENGO JIPYA LA OFISI YA TTCL, PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-SfNStyFkufg/VZZrJGvuEbI/AAAAAAADvWA/H93f4WvDfZk/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oza3hZ14HiM/VZZrIuqE9ZI/AAAAAAADvV4/rA2QmDvl7Kw/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aweka jiwe la msingi katika jengo jipya la ofisi ya TTCL, Pemba
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mkurugenzi Shirika la Simu Tanzania TTCL, Dkt. Kamugisha Kazaura, wakati alipowasili Wilayani Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Julai 3, 2015 kwa ajili ya Kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Jengo jipya la Ofisi za shirika hilo. Katikati ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bWw2yLhOQNo/XlVvladRffI/AAAAAAALfZs/AYdtHBXFfqsvAeNNWAFWOsCvvP1qmiY2ACLcBGAsYHQ/s72-c/4b718d99-9ef2-405f-8472-d120ea54e217.jpg)
TAMISEMI YAKAMILISHA UJENZI WA JENGO LAO LA OFISI KUU, MAKAO MAKUU YA TARURA
Hii imejidhirisha baada ya Waziri anayeongoza wizara hiyo kuwapongeza watu wake kwa kufanikisha ujenzi wa majengo mawili ya Kisasa katika Mji wa Serikali.
Majengo hayo ni jengo la Ofisi kuu ya TAMISEMI na jengo la Makao Makuu ya TARURA.
Majengo hayo ambayo yamejengwa kwa maelekezo na usimamizi wa Waziri Jafo yamekuwa ni kivutio kikubwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Pinda aweka jiwe la msingi jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place eneo la Victoria jijini Dar es slaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug4aTviLuwA/ViaVCPmw0HI/AAAAAAAIBXc/P4SwbQ-tYDs/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA YA USAGARA-KISESA, PIA AFUNGUA DARAJA LA MABATINI
9 years ago
GPLRAIS JAKAYA KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA MOROCCO SQUARE JIJINI DAR