TAMISEMI YAKAMILISHA UJENZI WA JENGO LAO LA OFISI KUU, MAKAO MAKUU YA TARURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bWw2yLhOQNo/XlVvladRffI/AAAAAAALfZs/AYdtHBXFfqsvAeNNWAFWOsCvvP1qmiY2ACLcBGAsYHQ/s72-c/4b718d99-9ef2-405f-8472-d120ea54e217.jpg)
OFISI ya Rais TAMISEMI imejidhihirisha kwamba ni Ofisi ya wananchi kwa kuamua kufanya mambo magumu ambayo kwa jicho la kawaida unaweza kusema hayawezekani.
Hii imejidhirisha baada ya Waziri anayeongoza wizara hiyo kuwapongeza watu wake kwa kufanikisha ujenzi wa majengo mawili ya Kisasa katika Mji wa Serikali.
Majengo hayo ni jengo la Ofisi kuu ya TAMISEMI na jengo la Makao Makuu ya TARURA.
Majengo hayo ambayo yamejengwa kwa maelekezo na usimamizi wa Waziri Jafo yamekuwa ni kivutio kikubwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.-2048x1365.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KM 51.2 MJI WA SERIKALI PAMOJA NA KUFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA TARURA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s640/1.-2048x1365.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff kuhusu mradi wa ujenzi wa Barabara za lami zenye jumla ya km 51.2 katika mji wa Serikali (Mtumba) mkoani Dodoma leo tarehe 11 Juni 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-10-scaled.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s72-c/17.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KATIKA MJI WA SERIKALI, AFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA TARURA NA OFISI ZA ZIMAMOTO MAKOLE JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s400/17.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xc3EVu2CGYA/XuJIGBt2I7I/AAAAAAACM_c/1x-hs6N1qo4gRBesWgrbpfIWOXIGY9ByQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q5Ku3cvHD0o/XuJIRwvhcBI/AAAAAAACM_g/kDyLp-KiGiU0Gzwd705Qca6UdKcdHcahwCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCcmDCu8TEg/Xu0MlevPUyI/AAAAAAALur4/A3sKjVQL2lIxCRavJxO0Ovw6TBsyPC61gCLcBGAsYHQ/s72-c/Picture%2B2%2B%25281%2529.png)
MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA UMOJA POSTA AFRIKA JIJINI ARUSHA.
Na:Vero Ignatus-Arusha.
Zaidi ya shilingi bilioni 38 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kisasa lenye jumla ya ghorofa 17 ambalo linajengwa kwa ubia Kati ya Umoja wa Post Afrika (PAPU) na serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya mawasiliano Nchini (TCRA).
Ni miezi sita sasa tangu kuzinduliwa shughuki za ujenzi kwa kuwekewa jiwe la msingi na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na mawasiliano mnamo januari 18 mwaka 2020 zoezi lililo ongozwa Mhandisi Isack Kamwelwe alie ambatana na viongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UR34H7M1PGw/VcMcVB-hOsI/AAAAAAAHueo/c8FPMy7ZUWs/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
IGP MANGU AKAGUA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA POLISI MKOA WA MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UR34H7M1PGw/VcMcVB-hOsI/AAAAAAAHueo/c8FPMy7ZUWs/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q6rnElGx5ZY/VcMcVPmtlRI/AAAAAAAHuek/rB-a2dllSGs/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sWFYkLLiutI/Xl-xz6PAi0I/AAAAAAALg_0/lp_JswZBdUol-pDkQp8mqrqF6VjrjudnACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU KAILIMA AKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA UHAMIAJI MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sWFYkLLiutI/Xl-xz6PAi0I/AAAAAAALg_0/lp_JswZBdUol-pDkQp8mqrqF6VjrjudnACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gtoA1qqpvr0/Xl-x1LsgIBI/AAAAAAALg_4/mUGygevraUAs_Y6K8UAyDYDbmyiiBW6gACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-1KdqEjugW3o/VdGxrYwVInI/AAAAAAAAkRA/7NxDI9JrDtY/s640/2.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MAKAO MAKUU YA CCM OFISI NDOGO LUMUMBA
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Jengo la Polisi Makao Makuu Dar, Lanusurika Kuwaka Moto
Jengo la Ghorofa ya 4 la Jeshi la Polisi Makao Makuu jijini Dar es Salaam leo limenusurika kuwaka moto baada ya kutokea cheche za umeme ndani ya jengo hilo na kusababisha taharuki kabla ya Kikosi cha Zimamoto kufanikiwa kuudhiti.
Kwa Taarifa zaidi endelea kufuatilia taarifa zetu.
9 years ago
MichuziNMB YAZINDUA RASMI JENGO LAKE JIPYA LA MAKAO MAKUU
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10