basi la kampuni ya Dar Express lateketea kwa moto wilayani Bagamoyo
Taarifa zilizothibitishwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani SACP Jafari Ibrahimu kwamba basi la kampuni ya Dar Express limeteketea kwa moto likiwa safarini kutokea Dar es salaam kuelekea Arusha. Kamanda Ibrahimu wa polisi mkoa wa Pwani amesema ‘Ni kweli basi la Dar Express leo saa saba mchana limeteketea kwa moto katika kijiji cha Makocho katikati ya kijiji cha Mandera na Mbwewe ndani ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. "Lilipata hitilafu kisha likaanza kuungua lenyewe. Bahati nzuri abiria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBASI LA DAR EXPRESS LATEKETEA KWA MOTO WILAYANI BAGAMOYO
Kamanda wa polisi mkoa wa Pwani anasema ‘Ni kweli basi la Dar Express leo saa saba mchana limeteketea kwa moto katika kijiji cha Makocho kijiji hiki kiko katikati ya kijiji cha Mandera na Mbwewe ndani ya Wilaya ya Bagamoyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SSGieiaE-NOgjm7YrRvLG6PLvcQv4XEImn0oFKHy1pBRGrRdPr*0EnLJ5BlZVjul7jxL8mdtfBQ*swINvTEHhLl7QOBG9*QW/DX5.jpg)
BASI LA DAR EXPRESS LIMETEKETEA KWA MOTO PWANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2Tkj4Pt7y7hhsHPgVXr2jJkzEZx-mdFwDsWTquAQnA4*dlDIGkC8f-VQwraJlWUB1vJZqTv3rlq6zoO3okMaib/BREAKINGNEWS.gif)
BASI LA HOOD LATEKETEA KWA MOTO PWANI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s72-c/20140723_084815_resized.jpg)
Bweni la shule ya Sekondari Erikisongo Wilayani Monduli lateketea kwa moto leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s1600/20140723_084815_resized.jpg)
Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ilitokea wakati wanafunzi wote wako darasani.
Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea. Kikosi Cha zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati tayari mabweni hayo yameshateketea.
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HVtGRIUTd2k/VKJTKbMGtTI/AAAAAAACVAM/rVDMdEWPoks/s72-c/5.jpg)
GARI LATEKETEA KWA MOTO MAKUMBUSHO DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVtGRIUTd2k/VKJTKbMGtTI/AAAAAAACVAM/rVDMdEWPoks/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-77GE92xN-No/VKJTL1ama9I/AAAAAAACVAU/xvX2fNaEzzw/s640/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qHWCCYZPqE/VKJTNuw8AfI/AAAAAAACVAc/o5fZ0FCcxl8/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zj_q1v9pHpI/VKJTPC-QVvI/AAAAAAACVAk/tq8ZgPdpxJg/s640/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMn3l1oEu6XEvr*f4DmzSSTvHxeRt9bjpiVTKayCW7hnYKS1fqRPS33Lb-TBy6DqN*1VIVjUcIadwYSZRMBa5im/6.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA, LATEKETEA KWA MOTO DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMssHdvsSoj0RVi2uSejzJlV0GFZ*uXvP8HVpXribOxubPIA26C6dg6PPQaXTrEkNVH0Ovybvz3GnrmsG8s0Fle5/13.gif)
JENGO LA EKAMASUITES LODGE YA KIJITONYAMA DAR LATEKETEA KWA MOTO
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Basi la kampuni ya Hajis lanusurika kuteketea kwa moto!
Picha mbalimbali juu na chini zikionyesha kikosi cha zima moto manispaa ya Singida,wakijitahidi kuzima moto uliosababishwa na kazi ya kuchomomelea basi la kampuni ya Hajis ya mkoani Singida.Viti na sehemu kubwa ya ndani, imeungua vibaya.Tukio hilo limwetokea katika gereji ya kampuni ya Hajis iliyopo eneo la Utemini mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s72-c/IMG-20141014-WA0002.jpg)
LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s1600/IMG-20141014-WA0002.jpg)
Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...