LORI LA MAFUTA LAANGUKA, LATEKETEA KWA MOTO DAR
![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMn3l1oEu6XEvr*f4DmzSSTvHxeRt9bjpiVTKayCW7hnYKS1fqRPS33Lb-TBy6DqN*1VIVjUcIadwYSZRMBa5im/6.jpg?width=650)
Mashuhuda wakieleza yaliyotokea. Wafanyakazi kampuni inayomiliki lori hilo ambayo bado haijafahamika, wakifanya tathmini ya hasara iliyopatikana.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s72-c/IMG-20141014-WA0002.jpg)
LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s1600/IMG-20141014-WA0002.jpg)
Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-T5d6ReEQFFNKQIWZIo9c58fzc6xoqCwI16vepRlo9PR77UH*tJZc*FcqkFQZonolVh7BWrBsg1H8qNgdqVkwlcnm-*cwS0o/BREAKINGNEWS22.gif?width=500)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA KIMARA, DAR
LORI lililokuwa na shehena ya mafuta lita 34,000 likitoka jijini Dar es Salaam kuelekea mikoani limeanguka asubuhi hii eneo la Kimara Darajani, Dar na kuziba barabara huku wananchi wakichota mafuta. Lori hilo ni mali ya Nassor Filling Station. Jeshi la Polisi liliamua kuingilia kati kuwatawanya wananchi hao waliokuwa wakigombea kuchota mafuta eneo la ajali. Video ya tukio hili itawajia hivi punde! ...
11 years ago
GPL![](http://www.itv.co.tz/media/image/LORI.jpg?width=650)
LORI LATEKETEA KWA MOTO BAADA YA KUGONGANA NA LORI LINGINE
Lori la kusafirisha mafuta linateketea kwa moto. Lori la kusafirisha mafuta likiwa na shehena kubwa ya mafuta aina ya Diesel limeteketea kwa moto baada ya kupata ajali ya kugongwa na lori lingine katika eneo la igurusi wilayani mbarali. Ajali hiyo imetokea  ikihusisha lori lenye namba za usajili T417 ABF, mali ya kampuni ya Camel oil ambalo lilikuwa likisafirisha lita 35,000 za mafuta aina ya diesel kutoka jijini Dar es...
10 years ago
GPLLORI LA MAFUTA LAANGUKA
Lori la mafuta likiwa limepinduka eneo la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa, Dar. Kikosi cha Zima Moto kikiwa eneo la tukio.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s72-c/IMG-20141014-WA0002.jpg)
NEWS ALERT: LORI LA MAFUTA LAWAKA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s1600/IMG-20141014-WA0002.jpg)
Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
11 years ago
GPL10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HVtGRIUTd2k/VKJTKbMGtTI/AAAAAAACVAM/rVDMdEWPoks/s72-c/5.jpg)
GARI LATEKETEA KWA MOTO MAKUMBUSHO DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVtGRIUTd2k/VKJTKbMGtTI/AAAAAAACVAM/rVDMdEWPoks/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-77GE92xN-No/VKJTL1ama9I/AAAAAAACVAU/xvX2fNaEzzw/s640/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qHWCCYZPqE/VKJTNuw8AfI/AAAAAAACVAc/o5fZ0FCcxl8/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zj_q1v9pHpI/VKJTPC-QVvI/AAAAAAACVAk/tq8ZgPdpxJg/s640/1.jpg)
10 years ago
VijimamboBASI LA DAR EXPRESS LATEKETEA KWA MOTO WILAYANI BAGAMOYO
Kamanda wa polisi mkoa wa Pwani anasema ‘Ni kweli basi la Dar Express leo saa saba mchana limeteketea kwa moto katika kijiji cha Makocho kijiji hiki kiko katikati ya kijiji cha Mandera na Mbwewe ndani ya Wilaya ya Bagamoyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMssHdvsSoj0RVi2uSejzJlV0GFZ*uXvP8HVpXribOxubPIA26C6dg6PPQaXTrEkNVH0Ovybvz3GnrmsG8s0Fle5/13.gif)
JENGO LA EKAMASUITES LODGE YA KIJITONYAMA DAR LATEKETEA KWA MOTO
Jengo la nyumba ya wageni ijulikanayo kama Ekamasuites Lodge iliyopo kijitonyama jijini Dar, linavyoteketea kwa moto.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania