LORI LA MAFUTA LAANGUKA
Lori la mafuta likiwa limepinduka eneo la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa, Dar. Kikosi cha Zima Moto kikiwa eneo la tukio.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-T5d6ReEQFFNKQIWZIo9c58fzc6xoqCwI16vepRlo9PR77UH*tJZc*FcqkFQZonolVh7BWrBsg1H8qNgdqVkwlcnm-*cwS0o/BREAKINGNEWS22.gif?width=500)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA KIMARA, DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMn3l1oEu6XEvr*f4DmzSSTvHxeRt9bjpiVTKayCW7hnYKS1fqRPS33Lb-TBy6DqN*1VIVjUcIadwYSZRMBa5im/6.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA, LATEKETEA KWA MOTO DAR
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Lori laanguka na kuziba barabara muhimu Nairobi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LORI LA TANKI LA MAFUTA LAPINDUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwp*e-E2og6MNjcG1-dkfdefAwQlSXgG-QHdzs6I-0JMtEv4gPOUnJ4BorqaARGw0IPpmd-fofC5J0EQCJdZDLAn/LOLI.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAUA 70 NIGERIA
11 years ago
Habarileo07 Mar
Dereva lori la mafuta afa ajalini
DEREVA wa gari la mafuta Ally Ngoma (62) amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na basi dogo la abiria.
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Lori la mafuta laua na kujeruhi Dar
Kaimu Kamanda wa Polisi Temeke, Nyigesa Wankyo.
Na Mwandishi wetu
Moto mkubwa umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine 19 waliokuwa wanachota mafuta ya petroli yaliyomwagika baada ya lori kupinduka eneo la Mbagala rangi tatu.
Tukio hilo linadaiwa kutokea kati ya saa 4:40 – 5.15 usiku wakati lori hilo liliposhindwa kukata kona kwenye mzunguko wa Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam na kuanguka kwenye mtaro.
Kaimu Kamanda wa Polisi Temeke, Nyigesa Wankyo alimtaja aliyekufa katika tukio hilo...
10 years ago
Mtanzania15 Oct
Lori la mafuta laleta maafa Dar
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
WATU wanne wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa vibaya, baada ya lori lililokuwa limebeba mafuta ya petroli kuanguka na kuteketea kwa moto katika eneo la Mbagala Rangitatu.
Hali hiyo ilizua taharuki na vilio kwa wakazi wa eneo hilo na maeneo jirani, baada ya idadi kubwa ya watu kujeruhiwa vibaya kutokana na moto huo ulioanza saa 6 usiku.
Watu wengi walijeruhiwa baada ya kwenda kuchota mafuta yaliyokuwa yanamwagika wakiwa na ndoo, vidumu vya lita tano na...
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Lori 100 za mafuta zashambuliwa Syria