Lori laanguka na kuziba barabara muhimu Nairobi
Foleni ndefu ya magari imeshuhudiwa katika moja ya barabara kuu za kuingia jiji la Nairobi baada ya lori kuanguka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-EF3fLDDX0wY/U24pSw5sV4I/AAAAAAAANZI/jZd8s6ZECXg/s1600/IMG-20140510-WA0006.jpg)
JIWE LAANGUKA NA KUZIBA BARABARA YA VUGA KUTOKA MOMBO - KOROGWE, WASAFIRI WAKWAMA
 Baadhi ya wasafiri wakitembea kwa miguu baada ya kukwama eneo la Vuga kwa takribani saa sita.  Jiwe kubwa likiwa limeanguka kutoka mlimani na kuziba barabara ya Vuga kutoka Mombo kuelekea Korogwe na Lushoto.…
10 years ago
GPLLORI LA MAFUTA LAANGUKA
Lori la mafuta likiwa limepinduka eneo la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa, Dar. Kikosi cha Zima Moto kikiwa eneo la tukio.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-T5d6ReEQFFNKQIWZIo9c58fzc6xoqCwI16vepRlo9PR77UH*tJZc*FcqkFQZonolVh7BWrBsg1H8qNgdqVkwlcnm-*cwS0o/BREAKINGNEWS22.gif?width=500)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA KIMARA, DAR
LORI lililokuwa na shehena ya mafuta lita 34,000 likitoka jijini Dar es Salaam kuelekea mikoani limeanguka asubuhi hii eneo la Kimara Darajani, Dar na kuziba barabara huku wananchi wakichota mafuta. Lori hilo ni mali ya Nassor Filling Station. Jeshi la Polisi liliamua kuingilia kati kuwatawanya wananchi hao waliokuwa wakigombea kuchota mafuta eneo la ajali. Video ya tukio hili itawajia hivi punde! ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMn3l1oEu6XEvr*f4DmzSSTvHxeRt9bjpiVTKayCW7hnYKS1fqRPS33Lb-TBy6DqN*1VIVjUcIadwYSZRMBa5im/6.jpg?width=650)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA, LATEKETEA KWA MOTO DAR
Mashuhuda wakieleza yaliyotokea. Wafanyakazi kampuni inayomiliki lori hilo ambayo bado haijafahamika, wakifanya tathmini ya hasara iliyopatikana.…
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Kampuni ya Dandho yalalamikiwa kuziba barabara
WAKAZI wa Mtaa wa Usalama, Kata ya Sandali, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, wanailalamikia Kampuni ya Dandho inayosafirisha mizigo na mafuta ndani na nje ya nchi kwa kugeuza eneo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QzNTlpUkBVc/VKGauEBFtkI/AAAAAAAG6fU/fAwl6bAdpfw/s72-c/2014-12-29%2B07.48.52.jpg)
AJALI YA LORI NYORORO IRINGA, LAFUNGA BARABARA KWA SAA KADHAA
Edwin Moshi wa Eddy BlogWatumiaji wa barabara ya Iringa Njombe wamekwama toka jana majira ya saa 10 jioni kufuatia ajali ya lori lililobeba shaba lenye namba za usajili T 261 BCM linalovuta tela lenye namba za usajili T 595 BAS kupata ajali na kufunga barabara na kusababisha magari kushindwa kupita. Mtandao huu umeshuhudia msururu mkubwa wa magari yanayokwenda mikoa ya njombe Ruvuma Mbeya na nchi jirani, pamoja na yanayotoka kwenye mikoa hiyo kwenda Iringa Dodoma, Dare es Salaam na mikoa...
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Barabara yapewa jina la Kikwete Nairobi
Serikali ya kaunti ya jiji kuu la Kenya imebadilisha jina la barabara moja na kuipa jina la Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Kikwete na Uhuru wazindua barabara muhimu
Rais Kenyatta na Rais Kikwete wamezindua mradi wa ujenzi wa barabara inayotarajiwa kurahisisha uchukuzi kati ya nchi hizo mbili.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-esaQEs4ldl4/U00m6xiq8sI/AAAAAAAFa3Q/GGhYlPPHXqQ/s72-c/MMG21002.jpg)
Lori lapiga mweleka eneo la Tabata Gereji mchana huu,lilikuwa likiikwepa bajaj iliyokuwa ikikatisha barabara
![](http://2.bp.blogspot.com/-esaQEs4ldl4/U00m6xiq8sI/AAAAAAAFa3Q/GGhYlPPHXqQ/s1600/MMG21002.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania