Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni ya Dandho yalalamikiwa kuziba barabara

WAKAZI wa Mtaa wa Usalama, Kata ya Sandali, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, wanailalamikia Kampuni ya Dandho inayosafirisha mizigo na mafuta ndani na nje ya nchi kwa kugeuza eneo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Lori laanguka na kuziba barabara muhimu Nairobi

Foleni ndefu ya magari imeshuhudiwa katika moja ya barabara kuu za kuingia jiji la Nairobi baada ya lori kuanguka.

 

11 years ago

GPL

JIWE LAANGUKA NA KUZIBA BARABARA YA VUGA KUTOKA MOMBO - KOROGWE, WASAFIRI WAKWAMA

 Baadhi ya wasafiri wakitembea kwa miguu baada ya kukwama eneo la Vuga kwa takribani saa sita.  Jiwe kubwa likiwa limeanguka kutoka mlimani na kuziba barabara ya Vuga kutoka Mombo kuelekea Korogwe na Lushoto.…

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA MAGARI YAENDAYO KASI WAGOMA

Mwandishi wa Globaltv Online, Patrick Buzohera akiwa mbele ya ofisi ya Meneja mkuu wa kampuni hiyo akijaribu kuzungumza naye, lakini alishuhudia ofisi hiyo ikifungwa mlango na madirisha kabla hajafanya chochote.…

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA IRINGA GNSM ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA YATIMA TOSAMAGANGA

MKurungenzi  wa kampuni ya ujenzi  wa barabara Iringa ya GNSM Bw  Geofrey Mungai na mkewe  Sarafina Mungia katikati  wakikabidhi  baada ya misaada  yenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 1 kwa  mlezi  wa  kituo cha yatima Tosamaganga Godfrida MhongoleBw Mungai  akishuhudia  jinsi  watoto  wanavyohudumiwa

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA UJENZI DKT JOHN MAGUFULI AZUNGUMZA NA WATENDAJI WA KAMPUNI YA UKANDARASI WA BARABARA YA DOT SERVICES YA NCHINI UGANDA

Waziri wa Ujenzi ,Dkt John Pombe Magufuli akifurahia jambo na mkuu wa wilaya ya Same ,Herman Kapufi wakati akifanya ukaguzi wa barabara kutoka Korogwe/Mkumbara hadi Same yenye urefu wa  Kilomita 172, inayojengwa kwa fedha za mkopo kutoka benki ya dunia (WB). Waziri wa Ujenzi Dkt ,John Magufuli akizungumza na wakandarasi kutoka kampuni ya Dot Services ya nchini Uganda… ...

 

10 years ago

Michuzi

TANROADS NA KAMPUNI YA SUMITON MITSUI CONSTRACTION CO. LTD WASAINI MKATABA KWAAJILI YA UJENZI WA BARABARA YA JUU ENEO LA TAZARA LEO JIJINI DAR

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara TANROADS Eng. Patrick Mfugale akisoma risala kwa mbele ya wadau wa ujenzi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mara baada ya kukutana na kusaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya juu (Fly over) eneo la Tazara jijini Dar es Salaam mkataba uliosainiwa kati ya Tanroads na kampuni ya Sumiton Mitsui Constraction Co. LTD ya nchini Japan mkutano uliofanyika  jijini Dar es Salaam leo.Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaki...

 

11 years ago

Mwananchi

Halmashauri yalalamikiwa

Baadhi ya abiria Mji Mdogo wa Kayanga na wamiliki wa daladala, wamelalamikia uongozi wa Halmashauri ya Karagwe kushindwa kutengeneza miundombinu ya stendi ya wilaya miaka 50 iliyopita tangu wilaya kuanzishwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumatra Ruvuma yalalamikiwa

BAADHI ya Wasafirishaji wa abiria mikoani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, wameilalamikia Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (Sumatra), mkoani hapa kwa kufanya upendeleo wa kuibeba kampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani