TANROADS NA KAMPUNI YA SUMITON MITSUI CONSTRACTION CO. LTD WASAINI MKATABA KWAAJILI YA UJENZI WA BARABARA YA JUU ENEO LA TAZARA LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s72-c/IMG-20151015-WA0009.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara TANROADS Eng. Patrick Mfugale akisoma risala kwa mbele ya wadau wa ujenzi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mara baada ya kukutana na kusaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya juu (Fly over) eneo la Tazara jijini Dar es Salaam mkataba uliosainiwa kati ya Tanroads na kampuni ya Sumiton Mitsui Constraction Co. LTD ya nchini Japan mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
9 years ago
Habarileo16 Oct
Mchakato ujenzi barabara ya juu Tazara tayari
UJENZI wa barabara ya juu katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela eneo la Tazara, Dar es Salaam unatarajiwa kuanza mapema iwezekanavyo baada ya kusainiwa kwa mkataba wa zaidi ya Sh bilioni 100 wa ujenzi.
10 years ago
MichuziGEPF WASAINI MKATABA NA BODI YA WAHASIBU NA WAKAGUZI (NBAA) WA UWEKEZAJI WA PAMOJA KATIKA ENEO LA BUNJU MJINI DAR
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/001.jpg)
BARABARA YA JUU (FLY OVER) KUJENGWA TAZARA, DAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GXC3j4jtx5Y/VoJUd1byVWI/AAAAAAAIPIo/B70c1VSXlfg/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
TANROADS kuendelea na ujenzi wa barabara ya Kamanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-GXC3j4jtx5Y/VoJUd1byVWI/AAAAAAAIPIo/B70c1VSXlfg/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inaendelea na ujenzi wa Barabara itokayo Kamanga Ferry kuelekea Sengerema kwa kiwango cha lami ili kurahisisha usafiri na usafirishaji katika eneo hilo.
Hayo yamesemwa leo na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza Mhandisi Leonard Kadashi alipokuwa akizungumza na Mwandishi wa Habari ofisi kwake kutolea ufafanuzi suala la Barabara ya Kamanga Ferry mpaka Sengerema ambayo haipo katika hali nzuri na kusema mkandarasi yupo na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kvO2fcU9Ows/VBNkeMtXqnI/AAAAAAAGjXo/hyxIpZYLbbs/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
TPDC, KAMPUNI ZA WENTWORTH, MAUREL & PROM WASAINI MKATABA WA KUUZIANA GESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-kvO2fcU9Ows/VBNkeMtXqnI/AAAAAAAGjXo/hyxIpZYLbbs/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA PROIN PROMOTIONS LIMITED YASAINI MKATABA NA MZEE YUSUPH KWAAJILI YA KUSAMBAZA FILAMU YAKE IITWAYO "NITADUMU NAE"
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qFg35BImoRw/UysDdF2oxMI/AAAAAAAFVHM/ayfpU1q_iPk/s72-c/02.jpg)
Barabara za juu kuondoa tatizo foleni jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-qFg35BImoRw/UysDdF2oxMI/AAAAAAAFVHM/ayfpU1q_iPk/s1600/02.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Ujenzi Bw. Mrtin Ntemo akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu maendeleo yaliyofikwa katika ujenzi wa barabara hapa nchini tangu Serikali ya awamu ya nne ilipoingia madarakani . Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi.
11 years ago
Michuzi07 Mar