Barabara za juu kuondoa tatizo foleni jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-qFg35BImoRw/UysDdF2oxMI/AAAAAAAFVHM/ayfpU1q_iPk/s72-c/02.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Ujenzi Bw. Mrtin Ntemo akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu maendeleo yaliyofikwa katika ujenzi wa barabara hapa nchini tangu Serikali ya awamu ya nne ilipoingia madarakani . Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
GPLFOLENI JIJINI DAR, TATIZO SUGU!
Magari yakiwa kwenye foleni katika Barabara ya Morogoro eneo la kituo cha daladala cha Rombo-Ubungo, jijini Dar. Malori yakiwa katika foleni eneo hilo. FOLENI katika Jiji la Dar es Salaam bado ni tatizo sugu kufuatia barabara nyingi za jiji hilo mda mwingi kuonekana zikiwa na foleni kubwa. Leo kamera yetu imenasa magari yakiwa katika foleni kubwa eneo la Kituo cha Daladala cha Rombo-Ubungo, jijini Dar ambapo magari yalikuwa...
11 years ago
GPLKERO ZA FOLENI BARABARA YA MOROGORO JIJINI DAR ZAENDELEA KUTESA
   Gari jekundu (kushoto) lililoharibikia njiani na kusababisha foleni eneo la Darajani-Kibamba maarufu kama Kwa Mangi.  Lori hili lililoharibikia njiani lilileta majanga maeneo ya Kimara na kusababisha msongamano.…
11 years ago
Mwananchi19 Dec
‘Treni ya kisasa Dar kutatua tatizo la foleni’
Wakati Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia akiitaka Serikali kutangaza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam kuwa ni janga la kitaifa, Serikali hiyo imeshauriwa kununua treni ya kisasa itakayogharimu Dola za Marekani 6 milioni (Sh9.9 bilioni) ili kuboresha usafiri na kupunguza gharama za uendeshaji treni ya sasa.
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Sauti za wananchi wa Dar kuhusu tatizo la foleni
Kwa wakazi wa Dar es Salaam, moja ya kero kubwa ni kukithiri kwa foleni za magari barabarani.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s72-c/IMG-20151015-WA0009.jpg)
TANROADS NA KAMPUNI YA SUMITON MITSUI CONSTRACTION CO. LTD WASAINI MKATABA KWAAJILI YA UJENZI WA BARABARA YA JUU ENEO LA TAZARA LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s640/IMG-20151015-WA0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8Zg2_nKNl8/Vh-LtVoQrMI/AAAAAAADA8k/nX0zBE9-wBs/s640/IMG-20151015-WA0015.jpg)
11 years ago
GPLFOLENI KUENDELEA KUTESA JIJINI DAR
Kuna kila dalili kuwa jinamizi la foleni litaendelea kuwatesa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwa muda mrefu zaidi kutokana na kasi ndogo ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara za pembezoni (ring roads) na usanifu wa barabara za juu (flyig overs) ambayo kwa ujumla inahitaji walau Sh. bilioni 170.
Kero hiyo itapungua kwa kiasi kikubwa ikiwa fedha hizo zitapatikana ili kutekeleza miradi mbalimbali iliyopewa kipaumbele...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s72-c/f1.jpg)
libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s1600/f1.jpg)
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
Foleni ya wagonjwa ni tatizo
Na Happiness Mtweve, Dodoma
KITENGO cha Mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya mkoani hapa, kimeelemewa na wagonjwa huku ikiwa na mashine moja.
Daktari Bingwa wa Mionzi, Philimon Saigodi, aliwaeleza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, kuwa hiyo imekuwa kero kubwa kwa wagonjwa.
Alisema wanahudumia wagonjwa 60 mpaka 70 kutoka katika mikoa ya Singida, Dodoma na wilaya za Kiteto na Manyoni.
Alisema kitengo hicho ni kikubwa na kina wagonjwa wengi, ambao wanaongezeka siku hadi siku, hivyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10