Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KERO ZA FOLENI BARABARA YA MOROGORO JIJINI DAR ZAENDELEA KUTESA

    Gari jekundu (kushoto) lililoharibikia njiani na kusababisha foleni eneo la Darajani-Kibamba maarufu kama Kwa Mangi.   Lori hili lililoharibikia njiani lilileta majanga maeneo ya Kimara na kusababisha msongamano.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FOLENI KUENDELEA KUTESA JIJINI DAR

Kuna kila dalili kuwa jinamizi la foleni litaendelea kuwatesa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwa muda mrefu zaidi kutokana na kasi ndogo ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara za pembezoni (ring roads) na usanifu wa barabara za juu (flyig overs) ambayo kwa ujumla inahitaji walau Sh. bilioni 170.
Kero hiyo itapungua kwa kiasi kikubwa ikiwa fedha hizo zitapatikana ili kutekeleza miradi mbalimbali iliyopewa kipaumbele...

 

11 years ago

Michuzi

Barabara za juu kuondoa tatizo foleni jijini Dar



Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Ujenzi Bw. Mrtin Ntemo akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu maendeleo yaliyofikwa katika ujenzi wa barabara hapa nchini tangu Serikali ya  awamu ya nne ilipoingia madarakani . Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi.

 

5 years ago

Michuzi

BARABARA YA MCHEPUO KUPUNGUZA KERO YA FOLENI - KIYEGEYA

Serikali imeanza kuyaruhusu magari yaliyokwama katika Barabara Kuu ya Dodoma - Morogoro katika eneo la Kiyegeya, wilaya ya Kilosa kupita katika njia ya mchepuo ambayo imejengwa ili kupunguza msongamano mkubwa wa magari uliopo katika barabara hiyo.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, wakati akisimamia hatua za ujenzi wa barabara hiyo ya mchepuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema hadi sasa zaidi ya malori 60 yameshavuka katika barabara...

 

5 years ago

Michuzi

BARABARA YA MCHEPUO KUPUNGUZA KERO YA FOLENI – KIYEGEYA




Kazi za ujenzi wa barabara ya mchepuo katika eneo la Kiyegeya, Wilaya ya kilosa, mkoani Morogoro zikiendelea. Ujenzi wa barabara hiyo upo katika hatua za mwisho na tayari magari makubwa na madogo yameshaanzakuruhusiwa kupita.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akisimamia zoezi la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi wa Barabara ya Morogoro kero tupu

TANGU mradi wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam uanze, kumezuka kero ya msongamano wa magari kwa watumiaji wa Barabara ya Morogoro eneo la Ubungo hadi...

 

11 years ago

Mwananchi

Ujenzi huu Barabara ya Morogoro kero kubwa

Kwa wakazi wa Kimara, kila kona ukipita hivi sasa ni vilio tu kutokana na ujenzi wa Barabara ya Morogoro, kwani kwa jinsi inavyojengwa haioneshi kuwasaidia wananchi bali kuwaongezea kero na usumbufu mkubwa.

 

11 years ago

Habarileo

Foleni yazidi kuwa kero Dar

TATIZO la foleni katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, limezidi kuwa kero kwa wananchi huku Serikali ikikiri kuumizwa kichwa na hali hiyo na hivyo kuitisha vikao vya mara kwa mara vya wadau wa usafiri kwa lengo la kujadili suala hilo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kipindupindu chaendelea kutesa jijini Dar

Muuguzi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Nusura Kessy (kushoto), akiwaelekeza wauguzi wa saidizi wake namna ya kuchanganya dawa maalumu ya kuondoa vijiji vinavyoweza kuwa vya ugonjwa wa kipindupindu katika kambi ya wagonjwa walioathiriwa na ugonjwa huo iliyopo Zahanati ya Mburahati Dar es Salaam leo asubuhi. Katika kambi hiyo kuna wagonjwa 21 kati yao watoto ni 7.

Vyombo vikiwekwa kwenye dawa.

Muuguzi Msaidi wa Zahanati ya Mburahati, Maimuna Pazi (kushoto) na Mlinzi wa Zahanati hiyo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani