Kipindupindu chaendelea kutesa jijini Dar
Muuguzi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Nusura Kessy (kushoto), akiwaelekeza wauguzi wa saidizi wake namna ya kuchanganya dawa maalumu ya kuondoa vijiji vinavyoweza kuwa vya ugonjwa wa kipindupindu katika kambi ya wagonjwa walioathiriwa na ugonjwa huo iliyopo Zahanati ya Mburahati Dar es Salaam leo asubuhi. Katika kambi hiyo kuna wagonjwa 21 kati yao watoto ni 7.
Vyombo vikiwekwa kwenye dawa.
Muuguzi Msaidi wa Zahanati ya Mburahati, Maimuna Pazi (kushoto) na Mlinzi wa Zahanati hiyo,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKIPINDUPINDU CHAENDELEA KUTESA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Kipindupindu chaendelea kuua D’Salaam
11 years ago
GPLFOLENI KUENDELEA KUTESA JIJINI DAR
11 years ago
GPLKERO ZA FOLENI BARABARA YA MOROGORO JIJINI DAR ZAENDELEA KUTESA
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MITARO NA MAENEO YALIYOATHILIWA NA KIPINDUPINDU JIJINI DAR
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cyst9TJ9pkU/VfWmIrct_EI/AAAAAAAD7EY/4yRSL3jwAUc/s72-c/778ab652e71bf1af7c3ac273c5ec7e12.jpg)
SALMA MOSHI AZIDI KUTESA DAR AKUTANA NA MHE. ASHA-ROSE MIGIRO
![](http://3.bp.blogspot.com/-cyst9TJ9pkU/VfWmIrct_EI/AAAAAAAD7EY/4yRSL3jwAUc/s640/778ab652e71bf1af7c3ac273c5ec7e12.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4RV7Gh9k9Cw/Uv3cQSt6d2I/AAAAAAAFNF0/YBX-yz4vBKw/s72-c/CBE+-+3.jpg)
CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA KAMPASI YA DAR CHAENDELEA KUFANYA VIZURI, CHAWEKA MIFUMO YA KISASA YA KUFUATILIA KUDHIBITI UKIUKWAJI WA MAADILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-4RV7Gh9k9Cw/Uv3cQSt6d2I/AAAAAAAFNF0/YBX-yz4vBKw/s1600/CBE+-+3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bFcQFijJEng/Uv3cXxZRbxI/AAAAAAAFNGE/hMMZ9lkCNF8/s1600/Cbe+-+4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HsZRlYxD3Go/Uv3cPeGJwNI/AAAAAAAFNFs/sMV_R9tsFfQ/s1600/CBE+-+1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Watu 27 waripotiwa kuwa na ugonjwa Kipindupindu jijini Arusha
Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu.
Mahmoud Ahmad Arusha
Jumla ya watu 27 waliripotiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa kipindupindu huku kati yao 6 walithibitishwa kuwa na ugonjwa wa kipindupindu. Na watano wamelazwa katika kituo cha Afya Levolosi.
Akizungumza na wanahabari ofisini kwake Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu aliwataka wakazi wa jiji la Arusha kufuata kanuni za ugonjwa huo na kuwa waepuke kula vyakula sehemu zisizofaa.
Nkurlu alisema kuwa kwa zaidi ya miezi miwili sasa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PflB1vDnTuc/VnjzLG10PHI/AAAAAAAINzM/06Q-IcujenE/s72-c/USAFI.jpg)
MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...