MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
![](http://1.bp.blogspot.com/-PflB1vDnTuc/VnjzLG10PHI/AAAAAAAINzM/06Q-IcujenE/s72-c/USAFI.jpg)
Na Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UmB2SmQOlDo/VkW15I8dkqI/AAAAAAAAWbk/ahOvKRBZGW0/s72-c/IMG_8382%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO,AMOSI MAKALA AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI KUZUNGUMZIA TISHIO LA UGONJWA WA KIPINDUPINDU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UmB2SmQOlDo/VkW15I8dkqI/AAAAAAAAWbk/ahOvKRBZGW0/s640/IMG_8382%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aW8MPYPblFY/VkW182oExQI/AAAAAAAAWcA/0s0UbpndgXI/s640/IMG_8390%2B%25281024x683%2529.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
MichuziTAMKO LA WAZIRI WA AFYA DKT. SEIF RASHID KUHUSU HALI YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU NCHINI
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Wafanyabiashara Buhongwa wahofia kuugua kipindupindu
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QN27tZAGe5k/VoFbmDEOdQI/AAAAAAAIPDE/rVVjl0Qc4D4/s72-c/IMG_9430.jpg)
WATU 196 WAMEFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
![](http://1.bp.blogspot.com/-QN27tZAGe5k/VoFbmDEOdQI/AAAAAAAIPDE/rVVjl0Qc4D4/s640/IMG_9430.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l5LDq8w8Dr4/VoFdsB8D0OI/AAAAAAAIPD4/cBQfqujfTHY/s640/IMG_9436.jpg)
Na Zainabu Hamis wa Globu ya Jamii.JUMLA ya...
9 years ago
StarTV21 Nov
Watu wawili wafariki mkoani Kagera kwa Ugonjwa Wa Kipindupindu
Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dokta Thomas Rutachunzibwa amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu wawili kutokana na ugonjwa wa kipindupindu mkoani humo.
Aidha Mganga huyo amesema hadi hivi sasa jumla ya wagonjwa kumi na wawili waliokutwa na vimelea vya ugonjwa huo,wanaendelea na matibabu katika kambi maalum iliyopo katika hospitali ya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera.
Baada ya kuzuka kwa ugonjwa wa kutapika na kuharisha na kuthibitika kuwa si kipindupindu sasa imebainika wazi kuwa wagonjwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/070615_cholera_THUMB_LARGE.jpg?width=650)
UGONJWA WA KIPINDUPINDU
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Serikali yatoa taarifa ya mwenendo wa ugonjwa wa kipindupindu nchini
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangalla akitoa tamko kwa umma, kuhusu mwenendo wa ugonjwa wa kipindupindu katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Pichani chini kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu katika Wizara ya Afya (Kaimu Mkurugenzi), Michael John.
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangalla ametoa tamko kwa umma,...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Watu 27 waripotiwa kuwa na ugonjwa Kipindupindu jijini Arusha
Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu.
Mahmoud Ahmad Arusha
Jumla ya watu 27 waliripotiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa kipindupindu huku kati yao 6 walithibitishwa kuwa na ugonjwa wa kipindupindu. Na watano wamelazwa katika kituo cha Afya Levolosi.
Akizungumza na wanahabari ofisini kwake Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu aliwataka wakazi wa jiji la Arusha kufuata kanuni za ugonjwa huo na kuwa waepuke kula vyakula sehemu zisizofaa.
Nkurlu alisema kuwa kwa zaidi ya miezi miwili sasa...
9 years ago
StarTV23 Nov
Wakazi Korogwe wapongeza jitihada za kuukabili  na Ugonjwa Wa Kipindupindu
Wakazi wa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga wamepongeza jitihada zilizofanywa za kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.
Wilaya ya Korogwe ilikuwa na wagonjwa wa kipindupindu 35 lakini sasa wamepungua hadi kufikia watano.
Ugonjwa wa kipindupindu katika wilaya ya Korogwa ulikuwa ni tishio hasa baada ya kufikia wagonjwa zaidi ya 30.
Baadhi ya shughuli za kiuchumi zilisimama kama vile mamalishe walivunga vibanda vyao kama sehemu ya kukabiliana na ugonwa huo.
Mkuu wa Wilaya hiyo Hafsa Mtasiwa...