Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UGONJWA WA KIPINDUPINDU

Leo tutachambua ugonjwa wa kipindupindu unaozikumba jamii mbalimbali na kuathiri nchi nyingi za Kiafrika Tanzania ikiwemo. Ugonjwa wa kipindupindu ni tatizo kubwa la kiafya kwa nchi zinazoendelea, ambako milipuko yake hutokea kufuatana na misimu ya hali ya hewa na kuhusishwa na suala la umaskini na usafi duni. gonjwa huo husababisha mtu kuharisha choo kingi cha maji maji ambacho hufanya maji kupungua haraka mwilini hali ambayo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

9 years ago

Michuzi

WATU 196 WAMEFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na ugonjwa wa Kipindupindu ulivyoweza kupungua ikiwa kukiwa na vifo vya watu 196 kwa Tanzania Bara.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

Na Zainabu Hamis wa Globu ya Jamii.JUMLA ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yatoa taarifa ya mwenendo wa ugonjwa wa kipindupindu nchini

IMG_0652

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangalla akitoa tamko kwa umma, kuhusu mwenendo wa ugonjwa wa kipindupindu katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Pichani chini kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu katika Wizara ya Afya (Kaimu Mkurugenzi), Michael John.

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangalla ametoa tamko kwa umma,...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Korogwe wapongeza jitihada za kuukabili  na Ugonjwa Wa Kipindupindu

 

Wakazi wa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga wamepongeza jitihada zilizofanywa za kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.

Wilaya ya Korogwe ilikuwa na wagonjwa wa kipindupindu 35 lakini sasa wamepungua hadi kufikia watano.

Ugonjwa wa kipindupindu katika wilaya ya Korogwa ulikuwa ni tishio hasa baada ya kufikia wagonjwa zaidi ya 30.

 Baadhi ya shughuli za kiuchumi zilisimama kama vile mamalishe walivunga vibanda vyao kama sehemu ya kukabiliana na ugonwa huo.

Mkuu wa Wilaya hiyo Hafsa Mtasiwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watu 27 waripotiwa kuwa na ugonjwa Kipindupindu jijini Arusha

2

Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu.

Mahmoud Ahmad Arusha

Jumla ya watu 27 waliripotiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa kipindupindu huku kati yao 6 walithibitishwa kuwa na ugonjwa wa kipindupindu. Na watano wamelazwa katika kituo cha Afya Levolosi.

Akizungumza na wanahabari ofisini kwake Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu aliwataka wakazi wa jiji la Arusha kufuata kanuni za ugonjwa huo na kuwa waepuke kula vyakula sehemu zisizofaa.

Nkurlu alisema kuwa kwa zaidi ya miezi miwili sasa...

 

9 years ago

StarTV

Watu 192 wafariki, 12,222 waambukizwa Ugonjwa Wa Kipindupindu nchini

Watanzania 196 wamefariki dunia nchini mwaka huu kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Kipindupindu.

Idadi hiyo inatokana na wananchi 12,222 waliougua ugonjwa huo katika mikoa 20 ya Tanzania.

Takwimu hizo zimetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utoaji wa Huduma za Kinga katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Vincent Assey, wakati wa mafunzo maalum ya kipindupindu kwa Waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Mkoa wa Mbeya umefanikiwa kumaliza tatizo hilo licha...

 

9 years ago

StarTV

Watu wawili wafariki mkoani Kagera kwa Ugonjwa Wa Kipindupindu

Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dokta Thomas Rutachunzibwa amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu wawili kutokana na ugonjwa wa kipindupindu mkoani humo.

Aidha Mganga huyo amesema hadi hivi sasa jumla ya wagonjwa kumi na wawili waliokutwa na vimelea vya ugonjwa huo,wanaendelea na matibabu katika kambi maalum iliyopo katika hospitali ya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera.

Baada ya kuzuka kwa ugonjwa wa kutapika na kuharisha na kuthibitika kuwa si kipindupindu sasa imebainika wazi kuwa wagonjwa...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WATOA TAARIFA YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Donan Mmbando akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya Mlipuko wa Ugonjwa wa kipindupindu uliopo sasa ulianza mnamo 15 Agosti 2015, katika Manispaa ya Kinondoni na baadae kusambaa katika Manispaa zote za Mkoa wa Dar es Salaam leo jijini Dar es Salaam.  Waandishi  wa habari wakimsikiliza  Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Donan Mmbando, leo jijini Dar es SalaamWadau mbalimbali wakiwa katika mkutano huo leo...

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO YAONGEZA USAMABAZAJI WA MAJI SAFI KUPAMBANA NA UGONJWA WA KIPINDUPINDU DAR

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Bw. Said Meck Sadick akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani ofisini kwake leo alipokutana nao kuelezea utekelezaji wa maagizo aliyoyatoa kwa DAWASCO kuhusu usambazaji wa maji safi na salama ili kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu. Afisa Mtendaji Mkuu wa  DAWASCO Mhandisi Cyprian Luhemeja akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani Dar es salaam  leo alipokutana nao kuelezea utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na  Serikali kuhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani