Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara Buhongwa wahofia kuugua kipindupindu

Wafanyabiashara wa Soko la Buhongwa Manispaa ya Nyamagana jijini Mwanza, wamesema kuwa wana hofu ya kukumbwa na kipindupindu kutokana na mrundikano wa taka kwenye dampo lililopo eneo hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

9 years ago

Mwananchi

Vita ya kipindupindu yaanzia kwa wafanyabiashara

Wilaya ya Makete imeanza kutoa elimu ya usafi wa mazingira kwa wafanyabiashara wa migahawa na hoteli kama njia mojawapo ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa kipindupindu ambao umeyakumba maeneo mengi nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wamachinga Igoma, Buhongwa kuondolewa

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameagiza viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana na Mkuu wa Kituo cha Polisi mkoani hapa, kuhakikisha wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga wanaondolewa haraka kupisha ukarabati wa barabara.

 

10 years ago

GPL

MADEREVA WA HAISI IGOMA BUHONGWA WAMBANA KIONGOZI WAO KUHUSU MGOMO

Maderava wakimbana  mwenyikiti wao aliefahamika kwa jina la Dede. Maderava wakiendelea na maongezi na mwenyikiti wao aliefahamika kwa jina la Dede. Baadhi ya Madereva wa Hai wa Gari za Igoma Buhongwa wakimbana mwenyekiti wa madereva Mr. Dede, katika kituo cha Haisi Igoma, kuhusu mgomo unaoendelea leo Dar es salaam na mikoa mingine, Madereva hao wanadai kwanini wao hawajagoma wakati mgomo unahusu nchi nzima, Mwenyekiti huyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nusu ya waingereza kuugua saratani

Mmoja kati ya watu wawili nchini Uingereza wataugua ugonjwa wa saratani katika maisha yao wachanganuzi wamesema.

 

10 years ago

Dewji Blog

JK alificha siri ya kuugua saratani!

jk18

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na waandishi wa habari na viongozi mbalimbali waliokuja kumlaki baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu  jana.

*Mama Salma alijua miezi nane baadaye

 *Aeleza alivyokuwa akihamanika na siri  

RAIS Jakaya Kikwete, amerejea nchini akiwa mzima wa afya na kuelezea Watanzania namna alivyoficha siri ya kuugua saratani kwa zaidi ya mwaka mmoja, huku akihamanika moyoni...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ndugai akanusha uvumi wa yeye kuugua



NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya. JOB NdugaiNdugai ambaye tokea kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania alikuwa hajaongoza kikao chochote. Muda mwingi katika kikao hicho, kilikuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda, anapokuwa hayupo bungeni. Akizungumza na Uhuru kwa njia ya simu jana, Ndugai (Kongwa-CCM),...

 

11 years ago

GPL

AUNT ASHINDWA KUFUTURISHA, KISA KUUGUA

Stori: mayAsa mariwata
STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel ameshindwa kutimiza azma yake ya kufuturisha pamoja na kuwaombea dua wasanii walioaga dunia kutokana na kuugua na kulazwa. Staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel. Awali msanii huyo alitangaza kufanya tukio hilo Jumanne iliyopita lakini Mungu hakutaka atimize lengo lake hilo kufuatia kukumbwa na malaria ya nguvu pamoja na presha. “Nasikitika sana nimeshindwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Chanzo cha kuugua mkanda wa jeshi

Katika mwendelezo wa safu hii kuhusu madhara ya ngozi, leo nitajibu swali la Thomas Lyatuu kuhusu ugonjwa unaojulikana kama mkanda wa jeshi au kwa kitaalamu herpes zoster.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani